Simuelewi huyu baba ana maana gani

Simuelewi huyu baba ana maana gani

Bora upendwe kuliko kupenda ukipenda utaumia sana trust me fata moyo wako unataka ila kama unajua ni asset kwako na sio liability kuwa makini sana utakuja jutia
 
Habari zenu wana JF, let me go straight to the point.

Huyu baba ni mtu mzima ambae sikatai alikuwa ananisaidia usafiri kipindi nikiwa naelekea chuo ambako nae ofisi zake zipo huko, ukiwa ndani ya gari yake anapenda sana kugusia kuhusu masomo, maisha, na kujichunga ukiwa kama kijana kuhusiana na mahusiano.

Sasa cha kushangaza hapendi kuniona hata nikiwa nasalimiana na vijana wenzangu ambao tumekuwa nao tangu utotoni.

I mean tuliochezea nao vifuu na kidali poo since we were young.

Tukikutana njiani bahati mbaya au nzuri nikiwa peke yangu au nikiwa na wa jinsia yangu anasimamisha gari ananisalimia kwa bashasha hata kwa dakika 30.

Ila kama kawaida akiniona na jinsia tofauti atanipita kama hanijui na atanikasirikia hata siku nyingine akiniona niko peke yangu.

Ila baada ya muda anakuwa tu kama kawaida.

Mimi naamua tu kumchunia vipi uamuzi huu uko sahihi au ntakuwa nakosea wana JF?
Nisaidieni nawasilisha.
mnatakana nyinyi. Mpaka kuomba ushauri inamaanisha kununa kwake kunakukera kiasi cha kukariri ni wakati gani hasa hununa. Na huyo jamaa kununa kila anapokuona upo na mtu wa jinsia tofauti ni ishara dhahiri anakupenda ila ni domo zege. Kama ni mtu mzima na ni mume wa mtu kaa nae mbali kama ni single just go with the flow.
 
Ningekua wewe ningepanda zangu basi yakajishia isiwe tabu,tena ungepanda basi ungekua na bidi ili uje uwe na gari yako lakini style ya kupewa lift utakubali masharti ya mtu ambayo huyapendi...
 
Wala hakuna cha ziada zaidi ya huo uzi nilioweka, Sina uhusiano nae wa kimapenzi Zaidi ya lift tu na namuheshim sana..ila tatzo ndio hilo anakuwa anamind anavyoniona naongea hivi njian au nasalimiana na wanaume wa mtaani ndio hapo nahitaji ushauri nami nimpotezee tu au VIP
Unapenda lift ?
 
Wanajuana hawa

Umenena vema ...Na umenena yote! Bibie naona anatuzuga tu na kujitoa ufahamu kama vile anazungumza na watoto wa chekechea! Hana lolote zaidi ya kuwa ni mtu na mtuwe.
 
Sasa kwani wewe hujajua huyo mzee anakutaka??? Mpotezee kabisa na hata lift yake usiwe unakubali...akikukuta njiani mwambie kuna mahali napitia na nitachelewa...labda kama na wewe unammezea mate..
Kimbia zinaa....
 
Back
Top Bottom