sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Tatizo la hawa ndugu zetu kina tecno hawatumii Soc (System on chip) mpya, soc huwa zinashikilia Ram, camera, modem za kunasa mtandao, wifi na vifaa vingine, soc ni kama roho ya simu.
Yani wao wanachofanya ni kusomba Soc za zamani zilizopitwa na muda ambazo huwa zimepungua bei, Tatizo sio soc za media tek bali ni wao kutumia soc zilizopitwa na wakati.
Watu wengi wamekariri simu ikiwa na media tek basi ina uwezo mdogo ila sio hivyo, kuna soc za mediatek za kisasa kama "MediaTek Dimensity 9200 Plus" ni ya tatu kwa ubora duniani kwa sasa lakini hawa ndugu zetu kina tecno hawaweki hizi soc mpya, wanaweka zilizopitwa na wakati,
simu chache sana za tecno zina Soc za kisasa,
hivyo tatizo hapa ni la Tecno na sio Mediatek.
Yani wao wanachofanya ni kusomba Soc za zamani zilizopitwa na muda ambazo huwa zimepungua bei, Tatizo sio soc za media tek bali ni wao kutumia soc zilizopitwa na wakati.
Watu wengi wamekariri simu ikiwa na media tek basi ina uwezo mdogo ila sio hivyo, kuna soc za mediatek za kisasa kama "MediaTek Dimensity 9200 Plus" ni ya tatu kwa ubora duniani kwa sasa lakini hawa ndugu zetu kina tecno hawaweki hizi soc mpya, wanaweka zilizopitwa na wakati,
simu chache sana za tecno zina Soc za kisasa,
hivyo tatizo hapa ni la Tecno na sio Mediatek.