Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,595
- 8,729
Wachina kwenye bidhaa wamesaidia sana ila upande wa usomi kama mfanyabiashara wametumaliza japo itakuwa na ubishi kwa wasiojua.
Sifanyi biashara ya kuuza simu ila nimeliona kwa wanaofanya biashara za kuuza simu. Kampuni hizi zinazotoka china kama tecno, itel, infix na n.k kifikra zaidi zimekaa kukuza mitaji yao binafsi sio muuzaji ambaye muuzaji wa duka la simu.
Utowaji wa matoleo kila wiki au mwezi una muumiza muuzaji ambaye ndio mwenye duka sababu mfululuzo wa matoleo usababisha simu nyengine kukosa soko,kuonekana ubora ni mdogo au kutokuwa na maana.
Msululu matoleo ya simu bila mda au kujali soko lake kama limenunulika linachanganya wanunuzi kuona ya zamani sio simu tena.
Wenye maduka wasipomaliza matoleo yaliyopita mnawapa tabu. Kwanini wasitulie wakatengeneza simu iliyokamilika kabisa, yani leo hizo simu mpaka spare zinaingiliana unaweza shangaa simu iliyotoka leo ikaingiliana spare na toleo la nyuma.
Wachina ni wazuri kwa leo ila ni vilio kwa kesho sababu wapo kwa ajili ya kuangalia uchumi wao sio wewe mfanyabiashara watakao kupa bidhaa zao ukiangaika nazo wakati washachukua pesa yako.
Sifanyi biashara ya kuuza simu ila nimeliona kwa wanaofanya biashara za kuuza simu. Kampuni hizi zinazotoka china kama tecno, itel, infix na n.k kifikra zaidi zimekaa kukuza mitaji yao binafsi sio muuzaji ambaye muuzaji wa duka la simu.
Utowaji wa matoleo kila wiki au mwezi una muumiza muuzaji ambaye ndio mwenye duka sababu mfululuzo wa matoleo usababisha simu nyengine kukosa soko,kuonekana ubora ni mdogo au kutokuwa na maana.
Msululu matoleo ya simu bila mda au kujali soko lake kama limenunulika linachanganya wanunuzi kuona ya zamani sio simu tena.
Wenye maduka wasipomaliza matoleo yaliyopita mnawapa tabu. Kwanini wasitulie wakatengeneza simu iliyokamilika kabisa, yani leo hizo simu mpaka spare zinaingiliana unaweza shangaa simu iliyotoka leo ikaingiliana spare na toleo la nyuma.
Wachina ni wazuri kwa leo ila ni vilio kwa kesho sababu wapo kwa ajili ya kuangalia uchumi wao sio wewe mfanyabiashara watakao kupa bidhaa zao ukiangaika nazo wakati washachukua pesa yako.