princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,687
- 19,358
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maisha ya sasa ni Wereva toshaSamsung s8+ wakati natumia tecno m3
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
Sent From my C5 wereva
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maisha ya sasa ni Wereva toshaSamsung s8+ wakati natumia tecno m3
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hilo neno sijibu ata mwaka na sitakagi kulisikia
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
Dah! Aisee! Sijui jamaa kajisikiaje baada ya kusoma hii comment.bosi hii simu ulotumia kupost ndio unatumiaga kuombea namba hao wadada?
kama ndio basi sawa wasalimie sana huko kasulu teachers college
not now baby,utaniambia ukishakuja hom,now kuna makelele mengi sana.Baby,nikuambie kitu?
Ukifilisika tuletee mrejeshoNimeshanunua simu sana na sitaacha kununua hata bila kuombwa mashine kitu ingine chalii yangu
Kama anaanza na gia za uongo hata kama nilikuwa nataka kumnunulia gari na nyumba naghairi.Bandugu,
Imekuwa kama fashion siku hizi ukianza uhusiano na binti, ile mmebadilishana namba na kesho ndo first date, tarajia kuambiwa 'simu imeingia maji, imechukuliwa na mwenyewe' na upuuzi kama huo.
Nime experience kwa mabinti kama watatu hasa under 25s! Sasa sijui kwanini hawaambiani kuwa hii trick imegundulika wabadili gia.
WEEE!!!!!!!!!!!!!!!!! NANI ANUNUE NA KAMA UBAHILI NA UWE SIFANYI MCHEZO HUO KWANI YEYE HAFAIDI.Acha ubahili, wanunulie simu wenzio [emoji6][emoji23][emoji6]
Acha ubahili, wanunulie simu wenzio [emoji6][emoji23][emoji6]