Simu za mabinti kuharibika mnapoanza uhusiano

Simu za mabinti kuharibika mnapoanza uhusiano

Hao ni watoto.

Wataalamu hawafanyi huo upuuzi. Tena anaweza hata akakupa vijigift vya hapa na pale, vya maana. Haombi nauli au vihela vya kitoto. Ila siku akidondosha bomu, wallahi kishindo chake kitasikika mpaka Ikulu. Na mara nyingi utampa tu kwani hakunaga namna nyingine
 
[emoji23][emoji23][emoji23]simu imechanika baby, ninunulie Samsung s8+

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
 
bosi hii simu ulotumia kupost ndio unatumiaga kuombea namba hao wadada?

kama ndio basi sawa wasalimie sana huko kasulu teachers college
Hahaaa! hawa wanaume wanaopenda kutuponda huwa wanafurahisha sana ..
 
kweli aisee maana wangu ndani ya wiki moja toka tufahamiane keshasema simu ya whatsap imechukuliwa na mwenye nayo, saivi kasema ndogo nayo imetumbukia kwenye maji na haifanyi kazi
 
Hao ni watoto.

Wataalamu hawafanyi huo upuuzi. Tena anaweza hata akakupa vijigift vya hapa na pale, vya maana. Haombi nauli au vihela vya kitoto. Ila siku akidondosha bomu, wallahi kishindo chake kitasikika mpaka Ikulu. Na mara nyingi utampa tu kwani hakunaga namna nyingine
Hahaaaaa[emoji28]

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Bandugu,
Imekuwa kama fashion siku hizi ukianza uhusiano na binti, ile mmebadlishana namba na kesho ndo first date, tarajia kuambiwa 'simu imeingia maji, imechukuliwa na mwenyewe' na upuuzi kama huo.
Nime experience kwa mabinti kama watatu hasa under 25s! Sasa sijui kwanini hawaambiani kuwa hii trick imegndulika wabadili gia!
Hili uliloandika ni ukweli mtupu, hata mimi imenitokea hivyohivyo majuzi.

Halafu huwa wanaomba kama elfu 20 au 25 tu kwa ajili ya matengenezo.

Mimi nilimwambia aniletee simu moshi mjini kwakuwa ni karibu sana na kwao nikamtengeezee kwa fundi aliyetengeneza yangu kioo akakataa kuleta na kuninunia.

Nilijua tu nikimtumia ndio basi tusingeonana tena.
 
Naanza Kuhisi Kuna Uhusiano Wa Kisayansi Na Kielektroniki Baina Ya KUTONGOZA/KUKUBALIWA/KUPEWA NAMBA Na SIMU KUANGUKA/KUPASUKA KIOO/KUDUMBUKIA KATIKA MAJI.

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Zinahofia mahusiano mapya au ndio kutimia kwa zile kauli za kila fala na rizki yake....
 
kweli aisee

Sent from my SAMSUNG-SM-J320A using JamiiForums mobile app
 
Bandugu,

Imekuwa kama fashion siku hizi ukianza uhusiano na binti, ile mmebadilishana namba na kesho ndo first date, tarajia kuambiwa 'simu imeingia maji, imechukuliwa na mwenyewe' na upuuzi kama huo.

Nime experience kwa mabinti kama watatu hasa under 25s! Sasa sijui kwanini hawaambiani kuwa hii trick imegundulika wabadili gia.
Watabadilika coz umesha waambia hapa,
Lakini kumbuka starehe gharama,
Wakikukimbia usije kufungua uzi hapa wakulia lia!
 
Ha ha ha

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli kabisa! Ukiangalia kwa umakini unaona kama vile mwanaume anawahi ili kumaliza shauku zake na mwanamke naye anawahi ili kutimiza mahitaji yake!

Kwa kifupi inamaanisha mwanamke wa aina hiyo hana malengo ya mbali na uhusiano wenu.
 
Ni kweli kabisa! Ukiangalia kwa umakini unaona kama vile mwanaume anawahi ili kumaliza shauku zake na mwanamke naye anawahi ili kutimiza mahitaji yake!

Kwa kifupi inamaanisha mwanamke wa aina hiyo hana malengo ya mbali na uhusiano wenu.
Inawezekana lakini pia ni janja ya hawa mabinti kutuibia !!
 
Hao ni watoto.

Wataalamu hawafanyi huo upuuzi. Tena anaweza hata akakupa vijigift vya hapa na pale, vya maana. Haombi nauli au vihela vya kitoto. Ila siku akidondosha bomu, wallahi kishindo chake kitasikika mpaka Ikulu. Na mara nyingi utampa tu kwani hakunaga namna nyingine

Hahaahahahaaaaa aise hawa wadada cku hiz hawana cha bure, MTU anakupa favor kumbe anahesabu tu Consultant
 
Back
Top Bottom