KANYIMBI
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 2,156
- 4,309
Oya nawashauri wekeni skreen kubwa pale uwanja wa uhuru ili watu wengine wakajae na uhuru.
Kule uhuru pia kuwe na burudani ya wasanii kuanzia asubuhi, na kuwe na mechi za awali.
Na Game rasmi ya kesho, fanyeni hivi;
Simba ichezeshe vikosi vitatu- kikosi Cha kwanza Kicheze hadi dk 30. ibadili kikosi chote kiiingie kikosi cha pili hadi dk. 60, kimalizie kikosi kingine hadi dk 90. Utakuwa ni unyama mwingi sana
Kule uhuru pia kuwe na burudani ya wasanii kuanzia asubuhi, na kuwe na mechi za awali.
Na Game rasmi ya kesho, fanyeni hivi;
Simba ichezeshe vikosi vitatu- kikosi Cha kwanza Kicheze hadi dk 30. ibadili kikosi chote kiiingie kikosi cha pili hadi dk. 60, kimalizie kikosi kingine hadi dk 90. Utakuwa ni unyama mwingi sana