Nilivyowaona Simba sc dhidi ya Mashujaa, TFF na Bodi ya ligi wasiposogeza Ratiba ya Simba sc vs Azam Kuna timu itadharirika

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,206
12,737
Bado Kuna Changamoto kubwa sana katika kikosi Cha Simba sc.

Kinachoendelea ndani ya kikosi ni uhuni wa wazi wazi, wachezaji wapya waliokuja hawana tofauti na wale waliotolewa(achwa) ndani ya kikosi Cha Simba sc.

Kocha Benchikha alituma Mapinduzi cup Kama michuano ya kufanya mazoezi (kutengeneza fitness) kwa wachezaji lakini hakuna kitu walichogain /hakuna mabadiliko.

Kwa kikosi hiki Simba sc kuchukua kombe labda /kuwafunga Azam labda makosa ya kibinadamu kwa marefa yatumike tofauti na hapo Simba sc itaangukia pua nafasi ya nne au Ya tatu.

Simba sc ipo mikononi mwa TFF na Bodi ya ligi.
 
Nchi ngumu hii asikwambie mtu..!

Yaani wewe fikiria timu yako imepata sare ambayo ni mpaka pale Marefa walipoingilia kati La sivyo ungepoteza...!

Sasa badala ya kujadili timu yako na ule Usajili Wa Wale mabalozi wa Konyagi na wengine kina Gwede gwede mtu anakomaa na Timu iliyoshinda, tena Ugenini..!

Tutafika tu,ila tukiwa tumechoka..!
 
Bado Kuna Changamoto kubwa sana katika kikosi Cha Simba sc.

Kinachoendelea ndani ya kikosi ni uhuni wa wazi wazi, wachezaji wapya waliokuja hawana tofauti na wale waliotolewa(achwa) ndani ya kikosi Cha Simba sc.

Kocha Benchikha alituma Mapinduzi cup Kama michuano ya kufanya mazoezi (kutengeneza fitness) kwa wachezaji lakini hakuna kitu walichogain /hakuna mabadiliko.

Kwa kikosi hiki Simba sc kuchukua kombe labda /kuwafunga Azam labda makosa ya kibinadamu kwa marefa yatumike tofauti na hapo Simba sc itaangukia pua nafasi ya nne au Ya tatu.

Simba sc ipo mikononi mwa TFF na Bodi ya ligi.
Umeyaona ya Simba tu lakini litimu lako na Kagera hujaona. Tulieni dawa itawaingia fresh tu mbona
 
Bado Kuna Changamoto kubwa sana katika kikosi Cha Simba sc.

Kinachoendelea ndani ya kikosi ni uhuni wa wazi wazi, wachezaji wapya waliokuja hawana tofauti na wale waliotolewa(achwa) ndani ya kikosi Cha Simba sc.

Kocha Benchikha alituma Mapinduzi cup Kama michuano ya kufanya mazoezi (kutengeneza fitness) kwa wachezaji lakini hakuna kitu walichogain /hakuna mabadiliko.

Kwa kikosi hiki Simba sc kuchukua kombe labda /kuwafunga Azam labda makosa ya kibinadamu kwa marefa yatumike tofauti na hapo Simba sc itaangukia pua nafasi ya nne au Ya tatu.

Simba sc ipo mikononi mwa TFF na Bodi ya ligi.
Tutawaomba Bodi ya Ligi wakishirikiana na chama Cha marefa, mechi zetu zote mwamuzi wa kati tupangiwe mwanamama TATU MALOGO.
 
Tatizo mnataka Simba na Yanga zilizojaza wageni ndio zifanye vizuri tu, wapeni credit na washindani wao Kwa kujipanga kuwapa changamoto ma Lodi Lofa wa soko la bongo.
 
Bado Kuna Changamoto kubwa sana katika kikosi Cha Simba sc.

Kinachoendelea ndani ya kikosi ni uhuni wa wazi wazi, wachezaji wapya waliokuja hawana tofauti na wale waliotolewa(achwa) ndani ya kikosi Cha Simba sc.

Kocha Benchikha alituma Mapinduzi cup Kama michuano ya kufanya mazoezi (kutengeneza fitness) kwa wachezaji lakini hakuna kitu walichogain /hakuna mabadiliko.

Kwa kikosi hiki Simba sc kuchukua kombe labda /kuwafunga Azam labda makosa ya kibinadamu kwa marefa yatumike tofauti na hapo Simba sc itaangukia pua nafasi ya nne au Ya tatu.

Simba sc ipo mikononi mwa TFF na Bodi ya ligi.
Kudharirika ndyo nn we nguchiro????
 
Back
Top Bottom