Simba vs Yanga: Oct 03, 2012

Simba vs Yanga: Oct 03, 2012

mbona haoni tim yoyote bali yanga wapo wanajenga vibanda sana hadi wanaboa

Mkuu japo una mahaba na simba basi angalau kuwa mkweli! yaani lainzmeni yuko bize mno upande mmoja tu! kwani hao simba mara ngapi wanafanya faulo lakini anayezikemea ni refa peke yake jamaa anauchubua tu! hatukubali!
 
Half time...ila kiukweli simba wana nafasi ya kuondoka na point zote 3...kingine mpira hauonekani vizuri, kutokana na rangi yake, cku nyingine watumie mweupe. Huu wa njano unataka kufanana na rangi ya pitch. Mi naangalia super sports 9
 
Yule mtabiri aliyesema kuwa kibao kitageuka na Yanga kushinda 2-1 anatisha,kwani ndo tunapoelekea

Unamaanisha huyu hapa chini, siyo?

Dakika chache zilizopita nilikuwa nasikiliza Capital Radio walikuwa na Simba v Yanga match preview programme. Mmoja wa wachangiaji waalikwa alikuwepo "Dk" Uwesu ("mtaalamu" wa tiba asilia na mtabiri wa nyota).
Nanukuu hapa chini alichokisema "Dk" Uwesu...

"Utabiri wa mechi ya Simba na Yanga ni mgumu sana. Lakini hadi dakika hii inaonyesha Simba 2 na Yanga 1. Hata hivyo, kwa kawaida Jumatano huwa ni siku ambayo hutawaliwa na rangi ya njano. Hii maana yake nini? Tafsiri yake ni kwamba Simba watatawala sana mwanzoni mwa mchezo lakini Yanga nao watatawala sana mwishoni mwa mchezo na hivyo kinyota matokeo ya mchezo yatageuka kuwa Simba 1 Yanga 2"
 
Umesema kweli jombaa lakini naomba unikumbushe Liverpool imechukua Ubingwa wa Premier kwa mara ya mwisho mwaka gani vile?

Coaches are hired to be fired!

Liverpool Football Club is an English Premier League football club based in Liverpool. The club has won eighteen League titles, seven FA Cups and a record eight League Cups. Liverpool has won more European titles than any other English club, having won fiveEuropean Cups, three UEFA Cups and three UEFA Super Cups.
Liverpool was founded in 1892 and joined the Football League the following year. The club has played at Anfield since its formation. The most successful period in Liverpool's history was the 1970s and '80s when Bill Shankly and Bob Paisley led the club to eleven league titles and seven European trophies.
The club's supporters have been involved in two major tragedies. The first was the Heysel Stadium disaster in 1985 in which charging Liverpool fans caused a wall to collapse, killing 39 Juventus supporters. In the 1989 Hillsborough disaster, 96 Liverpool supporters lost their lives in a crush against perimeter fencing.
Liverpool has long-standing rivalries with neighbours Everton and with Manchester United. The team changed from red shirts and white shorts to an all-red home strip in 1964. The club's anthem is "You'll Never Walk Alone".
 
Tajeni na dakika wakuu unajua wengi tumeganda jf kuliko sehemu yoyote kwaajili ya kupata ukweli tu.
 
Dah Online limegoma kilichobaki kuvuta Kigoda Ku hadithiwa mpira unaendeleaje Jamiiforum.
 
Kama hamjawahi kuona team inapoteza muda ndo mtaona leo,kipindi hiki cha 2 simba watapoteza muda sana
 
Back
Top Bottom