Sub waliyoifanya yanga itawakosti sana.
Kama kulikuwa na ulazima wa kutoa foward basi wa kutoka alikuwa ni Bahanuz na sio Hamis Kiiza.
Nizar Khalfan anapunguza spidi ya mashamulizi.
Yanga yasawazisha
Half time mkuu. Fuatilia mechi live hapa: http://radiofreeafricatz.com/startv-live/
atakataaje wakati kishakunywa castle lite za watu....
umemwona na wewe jamaa hayuko sawa kabisa.!
tunakimbilia kufukuza makocha pasi ya kuwekeza ktk soka,ingekuwa kufukuza ni suluhu basi liverpoor ya UK ingekuwa na makocha 1000
Lainzmeni wa kulia kala hela za simba! anaionea makusudi yanga!
Huyu mgeni wa Star TV anayehojiwa na A. Tilata anaonekana ni mnazi wa Yanga sana. Sijui wamemtoa wapi lol!
kamoja tuuuuu nimechoka kungooooojaaaaaaaaa kamoja tuuuuuuuuuuu
Umeona eeh!! Jamaa anaonekana kabisa hana furaha.Huyu mgeni wa Star TV anayehojiwa na A. Tilata anaonekana ni mnazi wa Yanga sana. Sijui wamemtoa wapi lol!
Ni mapumziko hivi sasa mkuu, matokeo bado ni 1-0.Wakuu tajeni na dk