Anaweza kuifunga Simba ni refa tu na sio Yanga

Anaweza kuifunga Simba ni refa tu na sio Yanga

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,996
Reaction score
5,615
Hapo vip!

Ni wazi yanga wanalijua hili ndio maana huwa wanacheza na marefa na sio kcheza na Simba.Yanga hana uwezo wa kuifunga au kutoka sare na Simba ila refa na waamuzi wa pembeni ndio huwa wanamfunga Simba au wanasare na Simba mfano darby iliyopita Simba amenyimwa goli lake la halali na waamuzi.pia darby zilizopita Simba amenyimwa penalty nyingi sana dhidi ya yanga ili tu watoke sare au yanga ashinde

Yanga wacheze na waamuzi na sio Simba kwasababu hawana uwezo wa kuifunga Simba
 
Hapo vip!

Ni wazi yanga wanalijua hili ndio maana huwa wanacheza na marefa na sio kcheza na Simba.Yanga hana uwezo wa kuifunga au kutoka sare na Simba ila refa na waamuzi wa pembeni ndio huwa wanamfunga Simba au wanasare na Simba mfano darby iliyopita Simba amenyimwa goli lake la halali na waamuzi.pia darby zilizopita Simba amenyimwa penalty nyingi sana dhidi ya yanga ili tu watoke sare au yanga ashinde

Yanga wacheze na waamuzi na sio Simba kwasababu hawana uwezo wa kuifunga Simba
Shadeeya ulisoma hii? Mweleze ajiridhishe hapa na comeback ya kishua! Hiyo ndiyo Yanga ninayoijua


View: https://www.youtube.com/watch?v=CGhUJ3ePLig
 
Mechi 2 za ligi kuu zimesimamiwa na waamuzi kutoka uarabuni na zote Simba kashindwa kuifunga Yanga. Mnasumbua watu bure, Simba haina uwezo wa kuifunga Yanga kwasasa. H
 
Back
Top Bottom