ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
Refa kadi kapeleka wapi?
umemuona baamedi walivyomkaba heheheeee...
Refa kadi kapeleka wapi?
Yanga wapo hoi tena bin taaban
Yanga umekubalije kukojolewa haraka hivyo.
Lainzmeni wa kulia kala hela za simba! anaionea makusudi yanga!
Lainzmeni wa kulia kala hela za simba! anaionea makusudi yanga!
umemwona na wewe jamaa hayuko sawa kabisa.!Lainzmeni wa kulia kala hela za simba! anaionea makusudi yanga!
hivi tanzania kuna asiyekula pesa?
hivi tanzania kuna asiyekula pesa?
dakika ya ngapi wajomba
dakika ya ngapi wajomba
Yanga umekubalije kukojolewa haraka hivyo.
Natizama Mpira Mkuu Startv.