Sio half time ni kipindi cha pili na dakika ya 10.Half time...ila kiukweli simba wana nafasi ya kuondoka na point zote 3...kingine mpira hauonekani vizuri, kutokana na rangi yake, cku nyingine watumie mweupe. Huu wa njano unataka kufanana na rangi ya pitch. Mi naangalia super sports 9
Msitue mkuu
mmh!huyu refa mbona anaelekea kuwa kituko...kadi kaziacha kwake nini
Yanga = CCM, haifai na ife kabisa. Japo sipendi mpira wa Tanzania ila timu yeyote inayovaa jezi za CCM huwa naichukia.