Simba vs Yanga: Oct 03, 2012

Simba vs Yanga: Oct 03, 2012

Safi sana Nadir.............Yellow card

Full Time

Yanga 1-1 Simba
 
Hivi Mrisho Ngasa alikuwepo uwanjani kipindi cha pili?
 
Pamoja na kucheza 10 uwanjani.............Yanga wamewazidi Simba mchezo...

Said Buhanuzi ni booonge la striker.....
 
duuu kweli si simba wala yanga wote hawajui kitu...

ft droo ya 1 1
 
Back
Top Bottom