Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
huku mtaani kwetu yanga wana shangilia kweli naingia JF namkuta kaka yangu @Balatanda anajitapa kweli naanza kuwaona yanga wapuuzi kweli yani 1 - 1 mnashangilia..
Huku mtaani kwetu Simba wenyewe wanakiri walikuwa wanaomba mpira uishe mana'ke kwa jinsi hali ilivyokuwa pamoja na Yanga kuwa pungufu lkn muda wowote watu walikuwa wanarudi kati