Simba vs Yanga: Oct 03, 2012

Simba vs Yanga: Oct 03, 2012

Msuva kapewa red card baada ya kupata kadi ya njano ya pili kwa kudanganya.
 
Dakika ya 81

Yanga 1-1 Simba

Refa keshaharibu mchezo.....
 
huyu mtangazaji wa star tv anaonesha dhahiri ni shabiki wa yanga.kila mpira ukielekea simba anasema nafasi kwa yanga lakini wakishika mpira wachezaji wa simba hasemi nafasi kwa simba
 
Wachezaji wa yanga nahisi km baadhi yao waingia uwanjani wakiwa wamevuta bangi hasa huyu aliyepewa red
 
Yanga wanafanya sub.....Juma Abdul anaingia badala ya Yondani,

Yondani atakuwa kaumia sana....
 
Hili ndio soccer la Nchi yangu!

Naona red card bila chenga!

Yanga Fc wanapata red!
 
huyu mtangazaji wa star tv anaonesha dhahiri ni shabiki wa yanga.kila mpira ukielekea simba anasema nafasi kwa yanga lakini wakishika mpira wachezaji wa simba hasemi nafasi kwa simba

hapa bongo hakuna watangazaji wa mpira wewe wote wanazi...
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Kazimoto kajiangusha refa anamuangalia.....................lol

Msuva naye kadive kalambwa 2nd yellow the red.........Kazi kwelikweli
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Yanga amesha gongwa kimoko

Haya maamuzi ya marefa wa leo ww unayaafiki kweli? hii hali itasababisha kama ni mechi basi simba wacheze peke yao! yani Boban kafanya faulo mbaya sana ila kapewa njano halafu wa yanga kosa dogo tu red card! hatutafika namna hii!
 
Simba wanafanya sub

Anatoka Mwinyi Kazimoto, anaingia Ramadhan Chombo
 
Back
Top Bottom