Simba vs Tiger

Simba vs Tiger

Tiger ana uwezo wa kupigana kwa kusimamia miguu ya nyuma wakati anatoa kichapo kwa adui.

Ni mnyama ambaye ni mwepesi mno na anashambulia kwa kasi kuliko simba!

Ana uwezo wa kujitupa na kujigeuza upande wowote wakati wa mapigano kwa kasi na kwa nguvu zote.

Bahati mbaya anachoka haraka tofauti na simba!

Simba anaweza asiwe na ufanisi wa mbinu za kupigana kama tiger lakini ana ujasiri na hachoki. Anapigana mpaka tone la mwisho la damu hata apigwe vipi hakimbii.

Tigers wana nguvu na ufanisi lakini ni wazembe. Anashambulia kwa kasi lakini akichoka anakimbia pambano!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa je hata Kama wewe ukiona mpambano umekushinda kifuatacho
Kuna video niliona ng'ombe wanashindwanishwa nani zaidi kwenye kupigana bas huo mmoja alianza kwa makeke mengi watu wakawa wanamshangilia kumbe mwenzie anausoma mchezo
Alivyoona kachoka yule aliyekuwa anausoma mchezo akaanza alimla kichwa kimoja yule ng'ombe akawa Kama kapigwa butwaa Sasa yule mwingine akarudi nyuma akamfuata kwa spidi bas yule ng'ombe alikimbia akatoka nnje ya uwanja watu walizomea dah nikikumbukaga nacheka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tiger wanapatikana India kiuwezo hawezi kimfikia Simba
Simba Ni habari nyingine

Daima toa bila kukumbuka na Pokea bila kusahau

You say that, "Simba ni habari nyingine" je Una ushahidi wa hilo?

👇 Kwanza Tiger hawapatikani only india... other countries pia wako tena aina tofauti...Urusi ndio wakubwa/Siberian tigers

The tiger (Panthera tigris) is the largest extant cat species and a member of the genus Panthera. It is most recognisable for its dark vertical stripes on ...

Species: P. tigris

Kingdom: Animalia

Phylum: Chordata

Genus: Panthera

Bengal tiger

White tiger

Siberian tiger

Sumatran tiger

Malayan tiger


South China tiger
 
Teh teh kweli mkuu me nipo upande wa simba kwa uzamini wa member hapa jukwaani nimeangali upande nimeona simba kawazi wote ndo maana kapewa uking
Mnamo mwaka 1859 lilitajwa pambano lililodumu takribani dakika 10 mjini lonfon ambapo TIGER aliyefahamika kwa jina la GUNGA ambaye hapo awali alikua akimilikiwa na ufalme wa 'OUDE' aliua SIMBA wapatao 30


Tukio lingine lilitokea 2010 ambapo "BENGAL TIGER" katika zoo ya "ANKARA" alipita kwenye uwazi kutoka kwenye cage alipofungiwa hadi kwenye cage ya simba na kumuua kwa pigo moja tu

Habari hii ilikuja kuripotiwa mwaka 2011 nakuwekea link hapa kutoka BBC usome mwenyewe

Tiger kills lion in Turkish zoo
 
Mnamo mwaka 1859 lilitajwa pambano lililodumu takribani dakika 10 mjini lonfon ambapo TIGER aliyefahamika kwa jina la GUNGA ambaye hapo awali alikua akimilikiwa na ufalme wa 'OUDE' aliua SIMBA wapatao 30


Tukio lingine lilitokea 2010 ambapo "BENGAL TIGER" katika zoo ya "ANKARA" alipita kwenye uwazi kutoka kwenye cage alipofungiwa hadi kwenye cage ya simba na kumuua kwa pigo moja tu

Habari hii ilikuja kuripotiwa mwaka 2011 nakuwekea link hapa kutoka BBC usome mwenyewe

Tiger kills lion in Turkish zoo
Upuuzi kweli

Nilifikiri Clip ...kumbe malezo Mchwara

Tiger ni Mkubwa ...lkn si mkubwa kihivyo kumzidi Simba

Ama katika sifa ya mapigano

Simba huwa ni Shujaa asiekubali kushindwa katika maisha yake,ilihali Tiger ana sifa ya Uoga na hukimbia Vita

Simba atabaki kuwa Mfalme
Kwa meeengi sana

Kisha
Wapambe wa Tiger,mnatakiwa mfahamu
Ukubwa si sababu ya Ushindi kwa wenye akili

Bali ushujaa na kuthubutu,ndio kila kitu mbele ya Wanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimependa maelezo haya. Yamechambua vizuri nguvu na udhaifu wa kila mmoja katika aina hizi za paka. Ni kweli Simba hana mzaha linapokuja suala la kupambana. Huwezi ukamtoa nduki kama unavyoweza kufanya kwa Tiger and the like. Utamuua akijilinda huku akitafuta uwezekano wa kukumaliza na wewe

Ila nina swali moja mkuu. Umesema Simba ndio mnyama wa aina ya paka anaewinda kwa pamoja. Je mbwa mwitu hawako kwenye kundi hili maana wao haswaa ndio wawindaji kwa group
Mbwa mwitu c paka sababu wana mdomo mrefu ni jamii ya mbwa ambao nao pia wana magroup yao fox.hyena.wolf nk
 
Upuuzi kweli

Nilifikiri Clip ...kumbe malezo Mchwara

Tiger ni Mkubwa ...lkn si mkubwa kihivyo kumzidi Simba

Ama katika sifa ya mapigano

Simba huwa ni Shujaa asiekubali kushindwa katika maisha yake,ilihali Tiger ana sifa ya Uoga na hukimbia Vita

Simba atabaki kuwa Mfalme
Kwa meeengi sana

Kisha
Wapambe wa Tiger,mnatakiwa mfahamu
Ukubwa si sababu ya Ushindi kwa wenye akili

Bali ushujaa na kuthubutu,ndio kila kitu mbele ya Wanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapo unakua umeandika nini?

Aliyekudanganya Kutokubali kushindwa ni kigezo ambacho mwenye nguvu huwa nacho ni nani?

Pierre akiwa na sifa ya kutokubali kushindwa hiyo itamaanisha TYSON FURY atapigwa kwasababu chenye sifa ya kutokushindwa hakishindwi?

Hiyo link umeielewaje wewe?

Tiger angekua na sifa ya uoga angemvamia simba na kumuua tena kwa kipigo cha aibu kama kile?

Au mganga wako alikuambia kua una nyota ya simba na simba ni shujaa ndo maana unamtetea hapa tena bila references?

Sa si bora uwe na nyota ya nyani tu
 
Hello,habari za majukumu wadau,bila shaka mtakuwa mko vyema na mnaendelea kuchukua hatua na tahadhari dhidi ya hili gonjwa dharimu la Covid-19 linalosababishwa na virus hatari wa corona,Mungu awabariki sana!.

Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kuna mjadala mahali fulani nimekutana nao kuhusu mnyama SIMBA na TIGER (Chui milia).

Kiukweli kama mnavyofahamu mijadala mizito mara nyingi huwa ina vuta nkuvute,kulingana na tafiti mbalimbali pamoja na Historia kadha wa kadha!,sasa kuna wengine waliosema ya kwamba SIMBA ni hatari zaidi ya Tiger na kuna wengine waliosema Tiger ni hatari zaidi ya Simba,na huo uhatari wao ni pale wanapokutana wao kwa wao.

Wapo waliosema SIMBA kwa uwezo wa nguvu,uwindaji,mapigano basi akikutana na Tiger atapokea kipondo kikali,lakini pia wapo vilevile waliosema kwamba Tiger kwa uwezo,minguvu,uwindaji na mapigano basi akikutana na Simba atampiga mpaka achakae kabisa,na si kuchakaa tu bali pia kuua kabisa.

Mtazamo wako wewe ni upi hapa,hebu lete facts za uhalisia,kiroho na kimwili pia unaweza kuhusisha!!

Tulia hivyo hivyo dawa ikuingie..

Kwa sifa zao Tiger ana uwezo Zaidi labda hofu tu ndo inaweza kufanya ashindwe, ila ana mzidi Simba kila kitu, uzito, makucha, weight, anatumia miguu yote minne kupigana, simba miwili, misuli ya tiger ni zaidi pia almost kila kitu yuko juu


 
History
Inamtambua Simba kama Mfalme wa Pori,hii haina maana kipindi hicho,hapakuwa na Tiger kabisa Duniani

Someni History,tazameni nyumba za kale za kihistoria ...utajua ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba za kale zinahusiana vipi kua simba ni ananguvu kuliko tiger?

Simba sio tu kwamba anamuogopa TIGER bali hata mbwa mwitu simba anaufyata
 
Sasa hapo unakua umeandika nini?

Aliyekudanganya Kutokubali kushindwa ni kigezo ambacho mwenye nguvu huwa nacho ni nani?

Pierre akiwa na sifa ya kutokubali kushindwa hiyo itamaanisha TYSON FURY atapigwa kwasababu chenye sifa ya kutokushindwa hakishindwi?

Hiyo link umeielewaje wewe?

Tiger angekua na sifa ya uoga angemvamia simba na kumuua tena kwa kipigo cha aibu kama kile?

Au mganga wako alikuambia kua una nyota ya simba na simba ni shujaa ndo maana unamtetea hapa tena bila references?

Sa si bora uwe na nyota ya nyani tu
Chief
Ushahidi wa kuokota si ushahidi...

Yaani mtu kujiandikia story ya kusadikika tu,ndio wataka kila mtu akubali.....?!!!

Nadhani ww ni Mtu Asia
Watu wa Asia wengi wao wana Propaganda mbaya sana dhidi ya Simba
Lkn wanafeli...
Mmoja wapo ni wewe


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa je hata Kama wewe ukiona mpambano umekushinda kifuatacho
Kuna video niliona ng'ombe wanashindwanishwa nani zaidi kwenye kupigana bas huo mmoja alianza kwa makeke mengi watu wakawa wanamshangilia kumbe mwenzie anausoma mchezo
Alivyoona kachoka yule aliyekuwa anausoma mchezo akaanza alimla kichwa kimoja yule ng'ombe akawa Kama kapigwa butwaa Sasa yule mwingine akarudi nyuma akamfuata kwa spidi bas yule ng'ombe alikimbia akatoka nnje ya uwanja watu walizomea dah nikikumbukaga nacheka

Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima uelewe kwamba wanyama wanatofautiana tabia zao kulingana na mazingira waliyomo lakini pia kulingana na jinsi walivyo kwa asili yao.

Tiger ni mnyama anayeishi maisha ya upweke. Hivyo, kila anapowinda lazima awe na shabaha ya uhakika ya kukamata windo lake mara moja na kwa ufanisi bila kuchelewa maana hana kampani ya kumpa msaada.

Tabia hiyo ya kuwinda mwenyewe, imemfanya kuwa mnyama mwenye ufanisi na maguvu mengi kama matokeo ya natural evolution.

Ni mnyama ambaye ameundwa kuua na kupambana na adui kwa nguvu na kwa ufanisi uliotukuka. It is a killing machine. Akikushambulia ujue ndani ya dakika mbili ameshakutoa roho.

Simba ni mnyama aliyeundwa kwa mapigano. Ni mnyama anayefurahia bifu, kutawala na kuvamia himaya za wengine. Ni mnyama anayependa ubabe tu na udikteta japo hana ukatili wa kufanya mauaji ya haraka.


Ndio maana tiger na simba wakiwa wanapigana, yule tiger atamvamia simba kwa kasi kwa nia ya kutaka kummaliza kwa kichapo cha fasta fasta, lakini bahati mbaya simba anahimili na kurudisha mapigo bila kuchoka au kusalimu amri.

Tiger akishaona anapigana na adui ambaye hafi kwa urahisi, lazima aondoke maana hajaundwa kwa mapambano. Ameundwa kuua haraka na kujificha kwa sababu ni solitary hunter anahitaji kujilinda dhidi ya majeraha yoyote kwa kadiri inavyowezekana.

Tiger akipata jeraha anakufa njaa mana hana sapoti ya kuwindiwa na wenzake. Ni mnyama aliyeundwa kuua chap chap na kwa tahadhari ya hali ya juu kuepuka kujeruhiwa.

Hivyo anapopigana na simba anatoa dozi nzito kweli kweli za mwanzoni lakini anachoka na kukacha pambano maana simba harudi nyuma hata apigwe vipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima uelewe kwamba wanyama wanatofautiana tabia zao kulingana na mazingira waliyomo lakini pia kulingana na jinsi walivyo kwa asili yao.

Tiger ni mnyama anayeishi maisha ya upweke. Hivyo, kila anapowinda lazima awe na shabaha ya uhakika ya kukamata windo lake mara moja na kwa ufanisi bila kuchelewa maana hana kampani ya kumpa msaada.

Tabia hiyo ya kuwinda mwenyewe, imemfanya kuwa mnyama mwenye ufanisi na maguvu mengi kama matokeo ya natural evolution.

Ni mnyama ambaye ameundwa kuua na kupambana na adui kwa nguvu na kwa ufanisi uliotukuka. It is a killing machine. Akikushambulia ujue ndani ya dakika mbili ameshakutoa roho.

Simba ni mnyama aliyeundwa kwa mapigano. Ni mnyama anayefurahia bifu, kutawala na kuvamia himaya za wengine. Ni mnyama anayependa ubabe tu na udikteta japo hana ukatili wa kufanya mauaji ya haraka.


Ndio maana tiger na simba wakiwa wanapigana, yule tiger atamvamia simba kwa kasi kwa nia ya kutaka kummaliza kwa kichapo cha fasta fasta, lakini bahati mbaya simba anahimili na kurudisha mapigo bila kuchoka au kusalimu amri.

Tiger akishaona anapigana na adui ambaye hafi kwa urahisi, lazima aondoke maana hajaundwa kwa mapambano. Ameundwa kuua haraka na kujificha kwa sababu ni solitary hunter anahitaji kujilinda dhidi ya majeraha yoyote kwa kadiri inavyowezekana.

Tiger akipata jeraha anakufa njaa mana hana sapoti ya kuwindiwa na wenzake. Ni mnyama aliyeundwa kuua chap chap na kwa tahadhari ya hali ya juu kuepuka kujeruhiwa.

Hivyo anapopigana na simba anatoa dozi nzito kweli kweli za mwanzoni lakini anachoka na kukacha pambano maana simba harudi nyuma hata apigwe vipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Point Chief,na huu ndio uhalisia

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom