Simba vs Tiger

Simba vs Tiger

Umeongea point kamanda...simba hawezi winda peke yake bila kuwa wa4 mpaka wa5,6...na huwezi kuta anawinda alone, ndio maana huwa wanatembea whole family ..wakati chui, tiger, panther and jaguar mara nyingi wana winda wakiwa wawili ama mmoja tu.


Tiger wangelikuwa wanaishi mbuga zetu wangewinda aina zote za wanyama mpaka mamba.
.
Yani hawa tiger wangepunguza hata idadi ya simba wangebaki wenyewe
 
Nimetoka kutazama mpambano wa tiger na simba huko youtube, Simba kajeruhiwa zaidi ila tiger kakata pumzi amebaki amelala tu hawez hata kuinuka.

Simba kaamua kuondoka zake hapo sijui nani sasa kashinda pambano

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa hapo juu amedai full documentary ya hii video ni kuwa Tiger alikata moto japo Simba nae hakuishi muda refu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa tanapa haimaanishi unawajua siberian tiger, na wewe kuwa tanapa pia hakukufanyi uwe sahihi.

Nimekuuliza swali simba ama chui wa africa akiwa mwenyewe ana uwezo wa kuwinda tembo? Siberian tiger anaweza.

Na pia tiger malezi yao ni magumu sana wanaishi kwenye misitu husaidiwi kuwinda ndio maana wanaitwa Killers, kila tiger ni one man Army akiwa mwenyewe inabidi ajifunze kuwinda la sivyo anakufa. Hizo muscles hajazaliwa nazo bali mazingira ndio yanamforce awe hivyo.

1. Tiger ana uwezo wa kupigana akiwa amesimama na anatumia mikono yote miwili, simba uwezo huu hana anatumia mkono mmoja tu.

2. Simba ana umbo kubwa na uzito mdogo na tiger umbo dogo na uzito mkubwa. Muulize mtaalamu wa afya atakupa jibu moja tu muscle weight more than fat. Imagine wanyama wawili wanafanana maumbo mmoja ana kilo 360 mwengine 250 unafkiri mwenye 250 ana chance?

3. Simba yupo mazingira rahisi anawinda swala wapo kundi wanakula wanashiba wavivu wamelala lala tu, tiger wanahunt kwa shida akiwa na njaa msituni anaua chochote mbele yake iwe ni tembo, bear ama hata Gorilla. Hivyo Tiger ni natural fighter kutokana na mazingira yao magumu waliokulia.

4. Pia kuna ushahidi mbalimbali kuanzia roman empire, India, mpaka zoo mbalimbali tiger akipambanishwa na simba ujue simba anakufa, naweza kukuekea links ukitaka.
Uzi ungeishia hapa, labda wabishi tu ndo watapinga hii hoja
 
Mi niliona Nat Geo, very huge and tough nyati vs Simba dume, wee usiombe!

Kwa mara ya kwanza nilimpigia salute Simba!

Yaan ni alichangiwa na nyati kama 200, hivi, wale mademu zake Simba wakala kona wote, kidume akadili na nyati 200,

Mpaka wanamdedisha, aliwapiga makofi, na finger za kufa mtu kama 50 hivi!

Yaan hadi anakata roho alihakikisha kaondokoka na roho zao manina!

Salute king of the jungle!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu weka link

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora uwaambie vijana wa maghorofani. Wanamfananisha simba na tiger. Na wakati tiger hata mziki wa African Leopard haugusi huyo tiger. Wangewauliza watu wa game reserve na tanapa wawaeleze kuhusu hawa jamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Its obvious kwa Africa watu wa game watakwambia simba ndo mbabe maana Tiger hapatikani mapori ya huku. Ila pia ukiwahoji zaidi watakwambia porini nyati ndo kisanga na ndo maana kofia zao zina kichwa cha nyati
 
Lion vs Tiger


Sent using Jamii Forums mobile app


Huyu tiger nae basha kweli sasa mbona kama anamnusa simba kinyeo, alikuwa anataka kumpanda au!!🤣

Yote 9 nimeona tiger ana mapigo ya mayweather anapiga kazaa halafu anakimbia.

Kwa dakika hizi chache mie jaji mkuu wa kujivika ujaji mkuu nampa tiger ushindi wa pointi 99 kwa 3 katika pambano hili!

Naomba mlete pambano jingine tafadhali.
 
Mkuu hebu ingia YouTube uangalie mapambano ya porini sio huyu simba anaefanya photoshoot.
Huyu tiger nae basha kweli sasa mbona kama anamnusa simba kinyeo, alikuwa anataka kumpanda au!!

Yote 9 nimeona tiger ana mapigo ya mayweather anapiga kazaa halafu anakimbia.

Kwa dakika hizi chache mie jaji mkuu wa kujivika ujaji mkuu nampa tiger ushindi wa pointi 99 kwa 3 katika pambano hili!

Naomba mlete pambano jingine tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbwa mwitu sio jamiii ya paka yule ni jamii ya mbwa so sifa na mtindo wao wa maisha ni tofauti,ndo maana kuna family mbili Felidae-Cat-like and Canidae-Dog-like
Nimependa maelezo haya. Yamechambua vizuri nguvu na udhaifu wa kila mmoja katika aina hizi za paka. Ni kweli Simba hana mzaha linapokuja suala la kupambana. Huwezi ukamtoa nduki kama unavyoweza kufanya kwa Tiger and the like. Utamuua akijilinda huku akitafuta uwezekano wa kukumaliza na wewe

Ila nina swali moja mkuu. Umesema Simba ndio mnyama wa aina ya paka anaewinda kwa pamoja. Je mbwa mwitu hawako kwenye kundi hili maana wao haswaa ndio wawindaji kwa group
 
Simba,
King of the Jungle.


Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom