Simba vs Tiger

Simba vs Tiger

Kweli kabisa mkuuu. Nakuongezea kwamba Tiger vs African Leopards. Nakuhakikishia huyo tiger anakimbia pambano, wanyama wa apa Africa ni Habari nyingine ukimletea hao wa uko anawapiga mapema. Wanyama wa apa Africa ni hatari sana. Hata awa Nile Crocodile ni Habari nyingine. Chui wa apa Africa akikutana na tiger anampiga kwa sababu ana uwezo wa kuluka na kumshambulia huyo tiger, kitu ambacho tiger ana uwezo mkubwa wa kuluka kama African leopards. Sasa huyo Africa leopard hawezi pambano na simba, Kumbuka simba dume analinda ktk Pride yake madume wasishambulie na anapambana na madume 4 yanayotafuta utawala wa Kupata umiriki(Pride). Simba ni mashine nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Kale katiger kanarukaruka kama paka wa mgahawani uje umweke meza moja na simba? Watu hawapo serious, bora mkuu umeeleza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tulishudia timbwili la kiboko na simba nakumbuka show tulikua tunafukuza ndege kipindi cha mpunga unachua asikuambie mtu tulikua juu ya kibanda asikuambie mtu kiboko na kifaa cha kazi!Simba sijiu alijitela vipi mpaka akamzingue kiboko ulipigwa mkono kama masaa 4 hivi mashamba yalivurugika ndege walihama mazima baada yakuona kuona ukimya tukaa tena kama msaa2 hivi ndio wazee wakashuka kwenda kucheki waliovyoona usalama tukaitwa nilichoka sana wale jamaa walinyofoana sana nyama mzee simba mpaka anarudisha namba kwa muumba mkono 1 tuliukuta kama mita 20 hivi nje ya ulingo kiboko hakua na jicho 1 ile vita ingekua zama hizi za smartphone ingekua na la kuonyesha mechi ilisha simba 0-kiboko 0 ila sijajua nani alieanza kuka roho
Hahahhahahahha
 
Naomba. Nijibu hizi hoja kidogo, mkuu.

Kwanza, yule unaye ona anaopolewa katka maji, si mamba, ni jamiii za mamba. Hawapo na nguvu sana, wala ubabe mwingi. Ukikutana na mimamba yenyewe, humtoi katika maji.

Pia yule unasema anaye mchomoa huyo mnyama jamiik ya mamba, si tiger. Jaguar ndio huwa ana ubabe huo.

Twende sasa, kuhusu simba.

Ukiangalia life style simba sio kweli kuwa simba dume hajui kuwinda au kula kulala, jamaaa anakazi nyingi sana, kuhakikisha jike wake na pride ipo salama. Simba dume, ana teka na kumiliki himaya na utawala, hapo anaweka mipaka na hukagua mipaka yake, kumhakikishia mkewe aman akawinde alete nyumbani. Hiii tunasema, Baba nipe ulinzi, na faraja nikupe Chakula na penzi.

Simba dume, hapo tunasema anakula mafao yake tu, ni kama mfanyakaz akisha fanya kazi miaka mingi na kustaafu, anakaa home ana kula mafao. Simba dume akifika wastan wa miaka miwili, Hufukuzwa kwao na kuanza kuwinda na kujitafutia yeye kama yeye Man alone, kwa hiyo hiko hakafukuzwa, hukaaa sana karibh na mama kujifunza kuwinda. Kipindi ambacho, ukimuangalia huweza kuhisi ni jike, maana anakuwa hana Zile nywele, labda uchunguze via vya uzazi. So, sio kweli kwamba dume hajui kuwinda.

Pia ktk hiii pride, ikitokea mawindo yamekuw magum, wanyama ana nguvu sana. Baba lao, huwenda kuset kitambo na kuongeza nguvu, kama kawaida.

Simba mmoja, Tiger mmoja hawezi mchomoa mamba kwenye maji, mbabe wa mamba kwenye maji ni kiboko peke yake. Ngoja nipunguze maneno nijibu hoja ya mtoa mada

Simba na Tiger, nani bingwa???

Katk kulinganisha wanyama, huangalia nguvu ya mnyama kiasili na kimaumbile yao. Simba nguvu yake na maumbile ni kubwa kuliko MBWA. Hii huja automatically simba anapiga MBWA. Lakin Tiger naye yupo vziur ana nguvu na nin mkubwa.

Nani mshindi, ?? Inategemea kwa hali ya mmoja mmoja yupojs walipo kutana?? Mbinu alizo adopt ktk mawindo na mapigano.

So, simba anaweza kalishwa na tiger, tiger anaweza kalishwa na simba. Kutegemea na hali zao kwa wakat huo


Wanangu wa A town inakuaje??
 
Kale katiger kanarukaruka kama paka wa mgahawani uje umweke meza moja na simba? Watu hawapo serious, bora mkuu umeeleza.

Sent using Jamii Forums mobile app


Hahahhaha! Ninashaka kama umamjua tiger. Huwezi kusema katiger, tiger ni mkubwa kuliko simba. Simaanishi kuzima hoja yako kwamba unaona simba ni bingwa lakini huwezi kumuita katiger wakat yeye ni mkubwa kwa size
 
Kwa mimi naona tiger is better

Huyu tiger anauwezo wa kuingia kwenye mto na kumchukua mamba akiwa mle mle kwenye maji jambo ambalo sio rahisi ukizingatia na kwamba nguvu ya mamba ni maji lakini si kwa chui

Halafu hata skills za uwindaji chui yuko vizuri zaidi, kama silaha basi naweza kumfananisha na AK47 wakati simba namfananisha na gobole

Action za chui ni noma hadi ndege anawinda, yani anajiviringa juu huko huko aliko ndege kisha anamdaka kwa mikono kama mtu

Simba dume ndo kabisa hata kuwinda halijui lenyewe kula kulala tu kazi zote limemuachia shemu
Mkuu umehama kutoka kwa Tiger kwenda kwa Chui.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani kama uko sahihi huyo unaemsema wewe anaitwa jaguar anapatikana marekani ya kusini huyo unaemuita mamba ni alligator ... tiger kwa asili anapatikana Asia ... na kwa taarifa tu hakuna mnyama anaeweza kufanya huo upumbavu wa kuwinda mamba mtoni ( the strongest bite on earth ) Hakuna mnyama anaeweza kuwinda hawa jamaa nile crocodile au salt crocodile labda alligator they’re more like lizards than mazafaka crocs
Acha ujinga unamjua alligator wewe?? Urefu wa Mdomo wa alligator tu unalingana na mwili mzima wa mamba

Najua ni nje ya mada lakini umeicheki avatar yangu mkuu?
 
Unajua huyo simba alikuwa na ukubwa gani? Maana kama alikuwa simba mdogo au simba jike ni lazima apigwe na Tiger.

You tube ndo msema kweli maana mapambano mengi kati ya Tiger na simba 90℅ ushindi uwa unaenda kwa Simba

Sent using Jamii Forums mobile app
We hivi hizi statistics mnazitoa wapi?

Hapo ukweli upo kinyume chake mpaka sasa zilishafanyika battle za cage fights 1902 kati ya tiger na simba

TIGER kashinda mara 1732 huku simba akishinda mara 170

Kwaiyo ile ya 95% ilikua ni TIGER sio SIMBA
 
wote hao hawakuti mziki wa tembo.....anaweza kuongea kila mtu akamsikiliza na hata mabenki yanampa ubalozi
 
Acha ujinga unamjua alligator wewe?? Urefu wa Mdomo wa alligator tu unalingana na mwili mzima wa mamba

Najua ni nje ya mada lakini umeicheki avatar yangu mkuu?
Acha mikwara ya simba anayeunguruma wakati nyuma kaufyata

Avatar ina nini hiyo?
 
Kwa mimi naona tiger is better

Huyu tiger anauwezo wa kuingia kwenye mto na kumchukua mamba akiwa mle mle kwenye maji jambo ambalo sio rahisi ukizingatia na kwamba nguvu ya mamba ni maji lakini si kwa chui

Halafu hata skills za uwindaji chui yuko vizuri zaidi, kama silaha basi naweza kumfananisha na AK47 wakati simba namfananisha na gobole

Action za chui ni noma hadi ndege anawinda, yani anajiviringa juu huko huko aliko ndege kisha anamdaka kwa mikono kama mtu

Simba dume ndo kabisa hata kuwinda halijui lenyewe kula kulala tu kazi zote limemuachia shemu
Yaani hapa umechukua sifa za jaguar ukatuchanganyia za leopard ukampa tiger japo kwa upande wa nani mkuu wa battlefield uko sahihi. Tiger ndo mnyama mkubwa kuliko wot kwenye jamii ya paka na porini ukubwa unaamua nani mfalme. Kiukweli tiger akitangaza bifu na simba porini, simba lazima ajikabidhi kituo cha polisi cha karibu kulinda uhai na heshima yake
 
Mimi nipo apa Tanapa usinibishie kijana wa maghorofani. Africans Lions, Africa leopards, African Buffalo, Africa elephants and African rhino hawa wanyama ni Habari nyingine. Ndio maana Nimekuuuliz umeshaona simba, chui, nyati, tembo na kifaru anafugwa na unaenda kumshika kama huyu Tiger. Huyu tiger kuwa na uzito Mkubwa haimaanishi kupambana ni sawa na kuchukua mnyanyua vyuma na mcheza kareti. Africans leopards na tiger. Tiger hamuwezi hata kwa sembuse hawa wanyama wanashambulia hatari sana. Hao wanyama wa kwy movie usiwahhsishe na iyo big five.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa tanapa haimaanishi unawajua siberian tiger, na wewe kuwa tanapa pia hakukufanyi uwe sahihi.

Nimekuuliza swali simba ama chui wa africa akiwa mwenyewe ana uwezo wa kuwinda tembo? Siberian tiger anaweza.

Na pia tiger malezi yao ni magumu sana wanaishi kwenye misitu husaidiwi kuwinda ndio maana wanaitwa Killers, kila tiger ni one man Army akiwa mwenyewe inabidi ajifunze kuwinda la sivyo anakufa. Hizo muscles hajazaliwa nazo bali mazingira ndio yanamforce awe hivyo.

1. Tiger ana uwezo wa kupigana akiwa amesimama na anatumia mikono yote miwili, simba uwezo huu hana anatumia mkono mmoja tu.

2. Simba ana umbo kubwa na uzito mdogo na tiger umbo dogo na uzito mkubwa. Muulize mtaalamu wa afya atakupa jibu moja tu muscle weight more than fat. Imagine wanyama wawili wanafanana maumbo mmoja ana kilo 360 mwengine 250 unafkiri mwenye 250 ana chance?

3. Simba yupo mazingira rahisi anawinda swala wapo kundi wanakula wanashiba wavivu wamelala lala tu, tiger wanahunt kwa shida akiwa na njaa msituni anaua chochote mbele yake iwe ni tembo, bear ama hata Gorilla. Hivyo Tiger ni natural fighter kutokana na mazingira yao magumu waliokulia.

4. Pia kuna ushahidi mbalimbali kuanzia roman empire, India, mpaka zoo mbalimbali tiger akipambanishwa na simba ujue simba anakufa, naweza kukuekea links ukitaka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom