Simba vs Tiger

Simba vs Tiger

Tafuta documentary Win ya hii battle ni 50/50 documentary niliyoangalia Tiger alikufa, simba alipata majeraha makubwa naamini Hata yeye hakuishi siku nyingi baada ya battle

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii hapa TIGER akimtafuna simba baada ya kupata upenyo ulio watenganisha kati ya yeye na simba

Na yule jamaa aliyesema kua simba dume anafanya kazi ya ulinzi aje ajibu hapa kivipi mlinzi ashindwe kufanya kazi yake?

Tiger kills lion in Turkish zoo
 
Mi niliona Nat Geo, very huge and tough nyati vs Simba dume, wee usiombe!

Kwa mara ya kwanza nilimpigia salute Simba!

Yaan ni alichangiwa na nyati kama 200, hivi, wale mademu zake Simba wakala kona wote, kidume akadili na nyati 200,

Mpaka wanamdedisha, aliwapiga makofi, na finger za kufa mtu kama 50 hivi!

Yaan hadi anakata roho alihakikisha kaondokoka na roho zao manina!

Salute king of the jungle!

Sent using Jamii Forums mobile app
Alikufa ila kwa mbindee

nadhani ndio unachokimaanisha hapa siyo?

Tiger kills lion in Turkish zoo
 
Mi niliona Nat Geo, very huge and tough nyati vs Simba dume, wee usiombe!

Kwa mara ya kwanza nilimpigia salute Simba!

Yaan ni alichangiwa na nyati kama 200, hivi, wale mademu zake Simba wakala kona wote, kidume akadili na nyati 200,

Mpaka wanamdedisha, aliwapiga makofi, na finger za kufa mtu kama 50 hivi!

Yaan hadi anakata roho alihakikisha kaondokoka na roho zao manina!

Salute king of the jungle!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sio poa mkuu huyo ndo king of the jungle


Sent from iPhone 6s Plus
 
Simba akimrukia mnyama ana uzito wa kishindo cha paundi 500 kwa Simba dume na ndie mnyama asie na woga hata kidogo...Jana nimeona Fisi wengi walimfukuza Simba kwenye lindo lake mchana jamaa wanamuonyesha yule fisi kihelehele akikimbizwa na Simba yule yule usiku baada ya kuviziwa maana Simba usiku anaona kama kawaida...
 
Kwa mimi naona tiger is better

Huyu tiger anauwezo wa kuingia kwenye mto na kumchukua mamba akiwa mle mle kwenye maji jambo ambalo sio rahisi ukizingatia na kwamba nguvu ya mamba ni maji lakini si kwa chui

Halafu hata skills za uwindaji chui yuko vizuri zaidi, kama silaha basi naweza kumfananisha na AK47 wakati simba namfananisha na gobole

Action za chui ni noma hadi ndege anawinda, yani anajiviringa juu huko huko aliko ndege kisha anamdaka kwa mikono kama mtu

Simba dume ndo kabisa hata kuwinda halijui lenyewe kula kulala tu kazi zote limemuachia shemu
Naomba. Nijibu hizi hoja kidogo, mkuu.

Kwanza, yule unaye ona anaopolewa katka maji, si mamba, ni jamiii za mamba. Hawapo na nguvu sana, wala ubabe mwingi. Ukikutana na mimamba yenyewe, humtoi katika maji.

Pia yule unasema anaye mchomoa huyo mnyama jamiik ya mamba, si tiger. Jaguar ndio huwa ana ubabe huo.

Twende sasa, kuhusu simba.

Ukiangalia life style simba sio kweli kuwa simba dume hajui kuwinda au kula kulala, jamaaa anakazi nyingi sana, kuhakikisha jike wake na pride ipo salama. Simba dume, ana teka na kumiliki himaya na utawala, hapo anaweka mipaka na hukagua mipaka yake, kumhakikishia mkewe aman akawinde alete nyumbani. Hiii tunasema, Baba nipe ulinzi, na faraja nikupe Chakula na penzi.

Simba dume, hapo tunasema anakula mafao yake tu, ni kama mfanyakaz akisha fanya kazi miaka mingi na kustaafu, anakaa home ana kula mafao. Simba dume akifika wastan wa miaka miwili, Hufukuzwa kwao na kuanza kuwinda na kujitafutia yeye kama yeye Man alone, kwa hiyo hiko hakafukuzwa, hukaaa sana karibh na mama kujifunza kuwinda. Kipindi ambacho, ukimuangalia huweza kuhisi ni jike, maana anakuwa hana Zile nywele, labda uchunguze via vya uzazi. So, sio kweli kwamba dume hajui kuwinda.

Pia ktk hiii pride, ikitokea mawindo yamekuw magum, wanyama ana nguvu sana. Baba lao, huwenda kuset kitambo na kuongeza nguvu, kama kawaida.

Simba mmoja, Tiger mmoja hawezi mchomoa mamba kwenye maji, mbabe wa mamba kwenye maji ni kiboko peke yake. Ngoja nipunguze maneno nijibu hoja ya mtoa mada

Simba na Tiger, nani bingwa???

Katk kulinganisha wanyama, huangalia nguvu ya mnyama kiasili na kimaumbile yao. Simba nguvu yake na maumbile ni kubwa kuliko MBWA. Hii huja automatically simba anapiga MBWA. Lakin Tiger naye yupo vziur ana nguvu na nin mkubwa.

Nani mshindi, ?? Inategemea kwa hali ya mmoja mmoja yupojs walipo kutana?? Mbinu alizo adopt ktk mawindo na mapigano.

So, simba anaweza kalishwa na tiger, tiger anaweza kalishwa na simba. Kutegemea na hali zao kwa wakat huo
 
Mkuu unaongea kishabiki ama una fact? Huyo siberian tiger aka amur msikie hivyo hivyo. Ana mkamata tembo mwenyewe kama mmoja na kumuua. Huku Africa si simba wala chui wa Africa mwenye uwezo huo unless wamzingire.

Angalia hii picha ya amur amejazia muscles kama anabeba chuma View attachment 1434536

Huyo kofi moja tu anammaliza chui wetu.

Simba pekee aliekuwa na ukubwa kama au kukaribia wa Amur ama bengali tiger ni barbarian ama atlas lion waliokuwa wakipatikana jangwa la sahara sema wamepotea huko jangwani wapo wachache zoo.

Barbary-Lion-Photos.jpg


Walikuwa ni wakubwa na manyoya hadi tumboni.
Mimi nipo apa Tanapa usinibishie kijana wa maghorofani. Africans Lions, Africa leopards, African Buffalo, Africa elephants and African rhino hawa wanyama ni Habari nyingine. Ndio maana Nimekuuuliz umeshaona simba, chui, nyati, tembo na kifaru anafugwa na unaenda kumshika kama huyu Tiger. Huyu tiger kuwa na uzito Mkubwa haimaanishi kupambana ni sawa na kuchukua mnyanyua vyuma na mcheza kareti. Africans leopards na tiger. Tiger hamuwezi hata kwa sembuse hawa wanyama wanashambulia hatari sana. Hao wanyama wa kwy movie usiwahhsishe na iyo big five.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
simba bila familia yake analiwa mpaka na fisi.simba ana ana nguvu ya kun'gata,600 wakati tiger ana 1000 bite force.tiger anawinda alone,wakati simba akibaki mwenyewe mara nyingi hufa kwa njaa.ukikaa na ma phutashangaa huo ufalme kapewa na nani

Sent using Jamii Forums mobile app
Waliompa ufalme walifanya research, na sio kubisha kutoka kwy mitandao eti Bite 600 kwa 1000.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Izo video mnazotazama National Geographic mkiwa mmenyosha miguu kwenye makochi ya shemej zenu zinawadanganya. Simba ukimuona live akiunguruma tuu usipomaliza haja zako zote basi unakata moto trust me.
balaaaa

Wanangu wa A town inakuaje??
 
simba kumuwinda twiga inabidi kijiji chao kitoke chote.hata mbogo.hawezi kumuua peke yake.simba hawezi kuwinda peke yake hiyo ndio asili yao.angalia the lion rules utaamini.
Tena nyati dume anadodoshwa na simba dume bila shida. Njoo mbugani mjifunze sio kudharau King of the jungle

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, Mimi nilikuwa na clip inayo onesha Chui amemkurupua mamba mtoni akasepa nae
Sidhani kama uko sahihi huyo unaemsema wewe anaitwa jaguar anapatikana marekani ya kusini huyo unaemuita mamba ni alligator ... tiger kwa asili anapatikana Asia ... na kwa taarifa tu hakuna mnyama anaeweza kufanya huo upumbavu wa kuwinda mamba mtoni ( the strongest bite on earth ) Hakuna mnyama anaeweza kuwinda hawa jamaa nile crocodile au salt crocodile labda alligator they’re more like lizards than mazafaka crocs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Izo video mnazotazama National Geographic mkiwa mmenyosha miguu kwenye makochi ya shemej zenu zinawadanganya. Simba ukimuona live akiunguruma tuu usipomaliza haja zako zote basi unakata moto trust me.
Bora uwaambie vijana wa maghorofani. Simba ana msuuli Mkubwa sana tofauti na tiger. Na msuli na ushupavu ndio umfanya awe king of the Jungle

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom