englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,209
huyu rubean anawatesa sana simba
mpira haujaisha tutarusha vitatu vya fasta kwa shoga huyu
kaka unaniaibisha sasa na mitusi hyo ndo mpira gani huo, sasa unaonekanika unakili ndogo kama julio,. Acha ujinga zungumza kama mtu anaejielewa
huku wakali wa tz tunaongoza kwa mbili bila..
simba wanapigwa la 4
mh, . . . . hawa sio wawakilishi wa Tanzania jaman. . .
anyway. libolo kapata gori la 4
libolo 4 simba 0