Simba vs Libolo -LIVE UPDATES

Simba vs Libolo -LIVE UPDATES

Status
Not open for further replies.
timu za wanaume kwasasa tanzania ni Simba na Azam wengine ni mapimbi tu..

Hata mashoga nao ni wanaume, kwa hiyo sitakupinga mwagito.

Simba hoyeeeeee!

544643_10151494147627165_169110287_n.jpg
 
Kazi kweli kweli...Libolo wamewekeza kwenye mechi hizi big time!Simba walienda kama vile wanaenda Moro kucheza na Lyon!
 
mjinga ni wewe na timu yako mnao fundisha wachezaji usen wewe timu kubwa kama hiyo unaweza kuwalaza kitanda kimoja twite,fuso na chuji huku yule kocha mwenye vikuku akilala na Sendeu halafu unakuja uni binulia mdomo hapa.

kaka umekua mkali kama unamsongo wa mawazo kisa umekubali kulambwa mara nne na libolo makini kabisa pole sn
 
Poleni kwa uzalendo. Mmuulize Msomali imekuwaje?
 
Jamani ila Simba sc ni ya TZ not Liboro, mtani wa kweli ni Wa kumhurumia Simba Na kumpa pole with all spirit, let activate Utani , vijembe, halua-hua wakati Timu mbili hizi I mean Yanga vs Simba zikimenyana live..if Angola pipo wanasoma sred hizi watashangaa how come their team Luckly collect such wapenzi wengi ugenini? Kumbe ni mautani yetu yasiyo Na mipaka...!!!
 
Ahahahahahahah..Mmmmh bora liishe hapo hapo kwenye libolo sasa likiingia mpaka chipumbu simba watatolewa kizazi sasa.

wakiwatoa liboro, wakikutana na chipumbu pumbu, simba atatakiwa achukue ile pumbu aiweke mdomoni halafu aiteme puuuu`!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom