ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
mbona alishakimbia kitambo tu yeye katangulia na basi kurudi bongo..Sasa msomali ajiandae kuchapa lapa
mbona alishakimbia kitambo tu yeye katangulia na basi kurudi bongo..Sasa msomali ajiandae kuchapa lapa
Nasikia leo Simba kabigwa Liboro 4....kwikwikwiiiii teh teh teh teh!....
Mkuu hata usituseme sana, tunaanza nae AlshababuPia tajiri wa LIBOLO alioneaha ukarimu wa hali ya juu kwa mabinti wa malkia wa nyuki....
Aliwasafirisha kwa ndege zake ndogo mbili toka Luanda mpaka mji ambako mechi ilichezwa....Na huko walifikia kwenye hoteli ya huyo tajiri iitwayo Ritz.....Mabinti wakajisahau wakidhani wapo New York kumbe jamaa anatengeneza mazingira ya kuwapiga bado 4.....
Chezea LIBOLO wewe...
leo mpaka @balatanda ananitukana..
leo mpaka @balatanda ananitukana..
Hapana mkuu....Sijakutukana...Ni matokeo tu na jina la wapinzani wenu ndo yanafanya uone umetukanwa...
Kwani si ni kweli mmepigwa bao 4 na LOBOLO mtani?
Mkuu hata usituseme sana, tunaanza nae Alshababu
wasiruhusu goli lingine tu lakini kuwatoa hao jamaa ni maajabu..beki ya simba tangu aondoke kelvin haijatulia kabisa..
Umesema hatujawahi kuja na kombe kutoka nchi za nje, nimekuletea unaanza visingizio tena, sisi hatujali hata kama lingekuwa la Umisseta ili mradi tumelinyakuwa nje nchi, kwani sisi tuliwaambia walete watoto, hata kama ni watoto lakini wanawakilisha timu hiyo hiyo ya Asante Kotoko, na hoja kubwa ilikuwa kuleta kombe kutoka nje, kwa hiyo mkuu usifikiri sisi hatujawahi kuleta kombe toka nje tatizo lako unadhan kombe ni la Kagame tu.