Simba vs Libolo -LIVE UPDATES

Simba vs Libolo -LIVE UPDATES

Status
Not open for further replies.
Mpambavu wa akili unayetukana sIMBA nyie yanga kaogeleni huku ziwani! SIMBA INAWAKILISHA TAIFA MUNGu iBARAKI SIMBA
 
Ushindi lazima SISI NDIO VIDUME WA TZ WAKONGWE!
 
Simba tushapigwa moja bila,bila unafiki Simba tuna kikosi kibovu mno,tatizo si kocha ni viongozi wanao sajili kijinga!!

Binafsi sishangai haya matokeo kabisa! ila miujiza hutokea!!
 
timu za wanaume kwasasa tanzania ni Simba na Azam wengine ni mapimbi tu..

Unamdanganya nani? Azam kakutana na vibonde wa S. Sudan, hukumbuki Wau Salaam walivyovuna mabao mashindano ya Kagame? Simba kashatikiswa kwenye tiGO, nyumbani na ugenini, sasa wewe unafikiri hatujui, uanaume wa hizi timu uko wapi? Kalale mapema.
 
Libolo bado wamemng'ang'ania mnyama mpaka muda huu
 
Mpambavu wa akili unayetukana sIMBA nyie yanga kaogeleni huku ziwani! SIMBA INAWAKILISHA TAIFA MUNGu iBARAKI SIMBA

Simba ameshalambwa kimoja mkuu.
Wameenda Angola wakiwa na kupe sasa jamaa wamemkuna katoa kitu!!!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom