Simba vs Libolo -LIVE UPDATES

Simba vs Libolo -LIVE UPDATES

Status
Not open for further replies.
Unamdanganya nani? Azam kakutana na vibonde wa S. Sudan, hukumbuki Wau Salaam walivyovuna mabao mashindano ya Kagame? Simba kashatikiswa kwenye tiGO, nyumbani na ugenini, sasa wewe unafikiri hatujui, uanaume wa hizi timu uko wapi? Kalale mapema.

yaani wangeenda wale wasene wanaopiga waamzi wangetandikwa sita hizo timu mbili ndizo zilizoaminiwa tofauti na hpo ilikuwa aibu kubwa..
 
Tusker kitu Gani bwana yale hayakuwa mashindano lile lilikuwa Bonanza tu umecheza mechi mbili na Ubingwa Ha Ha Ha Asante kotoko Kikosi cha Tatu! Cha kina Kenneth asamoah chenyewe kilikuwa cha pili
 
dk 73 sima wakoswa inakuwa kona na kona piga kiufundi inatoka nje cm chache
 
Makocha wote 4 wa Simba wapo kwenye benchi?
 
Mkuu, Simba kacharazwa, tafadhali kalale, unatutafutia 'ban'.

kalale wewe binafsi kufungwa kwa simba siyo ajabu ni kitu nilicho kitalajia hata kwenye ligi hatuna jipya ila kwa ligi ijayo tutakuwa na timu nzuri sana labda tuuze kama arsenal..
 
yaani wangeenda wale wasene wanaopiga waamzi wangetandikwa sita hizo timu mbili ndizo zilizoaminiwa tofauti na hpo ilikuwa aibu kubwa..

kaka unaniaibisha sasa na mitusi hyo ndo mpira gani huo, sasa unaonekanika unakili ndogo kama julio,. Acha ujinga zungumza kama mtu anaejielewa
 
..beki ya simba tangu aondoke kelvin haijatulia kabisa..
Lakini sidhani kama ni kutokana na Kevin Yondani. Msimu uliopita Yondani alisusia mechi nyingi tu akaenda kwao Mwanza na bado Simba ilibaki na ukuta imara. Kama tatizo ni beki, mbona Simba hairuhusu mabao mengi kivile? Kwa nini forward nayo haifungi mabao? There must be something else
 
Hata alipokuwepo kelvin beki ilikuwa tatizo huo ndio ukweli! mnakumbuka mechi ya sudan nyoso akiwa na red card?

Simba kwa karibu miaka kadhaa kuna tatizo la usajili tena kubwa mno!

Hakuna timu pale Okwi alikuwa anajitutumua tu!

Lazima Simba watimue uongozi na wasajili upya!!!
 
kama kawaida ubovu wa mabeki kuna mchezaji anaitwa rubean mzuri sana lakini mda wote yuko peke yake kwapiga la 3
 
kalale wewe binafsi kufungwa kwa simba siyo ajabu ni kitu nilicho kitalajia hata kwenye ligi hatuna jipya ila kwa ligi ijayo tutakuwa na timu nzuri sana labda tuuze kama arsenal..

Wanaolala ni wale wenye majonzi! Nitalalaje na furaha hii kubwa? Naenda viwanja kujirusha kwanza, bila shaka huko nitakutana na Anselm, Balatanda etc.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom