Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Unamdanganya nani? Azam kakutana na vibonde wa S. Sudan, hukumbuki Wau Salaam walivyovuna mabao mashindano ya Kagame? Simba kashatikiswa kwenye tiGO, nyumbani na ugenini, sasa wewe unafikiri hatujui, uanaume wa hizi timu uko wapi? Kalale mapema.
yaani wangeenda wale wasene wanaopiga waamzi wangetandikwa sita hizo timu mbili ndizo zilizoaminiwa tofauti na hpo ilikuwa aibu kubwa..