Simba vs Libolo -LIVE UPDATES

Simba vs Libolo -LIVE UPDATES

Status
Not open for further replies.
Alafu libolo halijalala limetandika 4 mfululizo bila kulala


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Nilikuwa naangalia rekodi ya Libolo kwa mechi 5 zilizopita, limeshinda 1 tu dhidi ya Simba, limetoa sare 2 na kupigwa mara 2 hivyo Simba ni wachovu tu. Wallah huu ni muda muafaka wa kuwatandika 6-0.
 
Nilikuwa naangalia rekodi ya Libolo kwa mechi 5 zilizopita, limeshinda 1 tu dhidi ya Simba, limetoa sare 2 na kupigwa mara 2 hivyo Simba ni wachovu tu. Wallah huu ni muda muafaka wa kuwatandika 6-0.
Pia tajiri wa LIBOLO alioneaha ukarimu wa hali ya juu kwa mabinti wa malkia wa nyuki....

Aliwasafirisha kwa ndege zake ndogo mbili toka Luanda mpaka mji ambako mechi ilichezwa....Na huko walifikia kwenye hoteli ya huyo tajiri iitwayo Ritz.....Mabinti wakajisahau wakidhani wapo New York kumbe jamaa anatengeneza mazingira ya kuwapiga bado 4.....

Chezea LIBOLO wewe...
 
Pia tajiri wa LIBOLO alioneaha ukarimu wa hali ya juu kwa mabinti wa malkia wa nyuki....

Aliwasafirisha kwa ndege zake ndogo mbili toka Luanda mpaka mji ambako mechi ilichezwa....Na huko walifikia kwenye hoteli ya huyo tajiri iitwayo Ritz.....Mabinti wakajisahau wakidhani wapo New York kumbe jamaa anatengeneza mazingira ya kuwapiga bado 4.....

Chezea LIBOLO wewe...

Si ndio baada ya huo ukaribu simba wakaamua kushukuru kwa kutumbuiza kibao cha taarabu
 
kweli ninyi ni wakongwe wa umalaya tz. mwaka huu lazima mtotoe. liboro atakua alikula viagra
 
Libolo 4 simba 0 yan ndg zangu wa msimbaz ndembendembe. Ok ngoja 2one sasa libolo vs chipumbu
 
Nasikia leo Simba kabigwa Liboro 4....kwikwikwiiiii teh teh teh teh!....
 
Pia tajiri wa LIBOLO alioneaha ukarimu wa hali ya juu kwa mabinti wa malkia wa nyuki....

Aliwasafirisha kwa ndege zake ndogo mbili toka Luanda mpaka mji ambako mechi ilichezwa....Na huko walifikia kwenye hoteli ya huyo tajiri iitwayo Ritz.....Mabinti wakajisahau wakidhani wapo New York kumbe jamaa anatengeneza mazingira ya kuwapiga bado 4.....

Chezea LIBOLO wewe...

DUh ni km walikuwa wanampokea mwali vile hahahaha
 
Pia tajiri wa LIBOLO alioneaha ukarimu wa hali ya juu kwa mabinti wa malkia wa nyuki....

Aliwasafirisha kwa ndege zake ndogo mbili toka Luanda mpaka mji ambako mechi ilichezwa....Na huko walifikia kwenye hoteli ya huyo tajiri iitwayo Ritz.....Mabinti wakajisahau wakidhani wapo New York kumbe jamaa anatengeneza mazingira ya kuwapiga bado 4.....

Chezea LIBOLO wewe...

Halafu usiku wakalitumbuiza LIBOLO kwa nyimbo nzuuuri za taarabu, wakiongozwa na Julio😛eace:😛eace:
 
south sudan na angola wapi na wapi? kumbuka south sudan (national team au club) haijawahi kushinda mechi yoyote ya kimataifa! libolo ina wachezaji 6 kwenye timu ya taifa ya angola iliyocheza afcon mwaka huu. dunia mbili tofauti
ndio maana kwenye msimamo ipo nafasi ya 12 ila simba ya tatu hao al nasri wapo juu sasa usilinganishe kiaje pole sana mkuu ndio mpira huo..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom