Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
Taifa bado bila bila dak 42.
Thank you Masuke for this nice post.
Taifa bado bila bila dak 42.
HT: Simba 0-0 Toto Africa.
No doubt, you've chronic & severe malaria.
Nilisikia wanasema watagoma kucheza kama na wale jilani zao hawatacheza leo eti wanaweza panga matokea vp imekuaje nanon'gonezwa kumbe wanacheza na jangwani ya jijini mwanza hapo kazi tu.
Nilisikia wanasema watagoma kucheza kama na wale jilani zao hawatacheza leo eti wanaweza panga matokea vp imekuaje nanon'gonezwa kumbe wanacheza na jangwani ya jijini mwanza hapo kazi tu.
Brother you are suffering the same my dear!
Walikuwa wanatishia nyau, TFF ilifunguka ikasema wasipotinga uwanjani itakula kwao. Nao wakaona hata hiyo point 1 si haba, wameifuata Taifa.
Yes! Kwa Yanga ni mwendo mdundo tu wa 'kunyaza' ama 'katerero' kila tunayekutana naye sharti alowanishe godoro, hatuna cha mswalie mtume.
So, we are all victims! Let us shake hands and hug each other in celebrating Corrupt Simba's draw.
Ama kweli kipendacho roho hula nyama mbichi.
Mkuu, Mze wa Rula, nisamehe bure, Wabheja Sana kanikosoa vikali, nami nimeacha kukuudhi Mkuu. Samahani sana kwa maneno yanayo udhi.
Mzee wa Rula lete updates toka national stadium.
Nimesikia minong'ono kwamba toto africans wamegoma kupokea mpunga, wanataka muongeze dau.
Kwa jinsi hali ilivyo mbaya kwenu lazima mfungue pochi nene ili mpate ushindi.
hayo ni maneno tu ata na kwenye khanga yapo.Mzee wa Rula lete updates toka national stadium.
Nimesikia minong'ono kwamba toto africans wamegoma kupokea mpunga, wanataka muongeze dau.
Kwa jinsi hali ilivyo mbaya kwenu lazima mfungue pochi nene ili mpate ushindi.
Mzee wa Rula lete updates toka national stadium.
Nimesikia minong'ono kwamba toto africans wamegoma kupokea mpunga, wanataka muongeze dau.
Kwa jinsi hali ilivyo mbaya kwenu lazima mfungue pochi nene ili mpate ushindi.