Simba sc V/s Toto African: Live updates from National Stadium

Simba sc V/s Toto African: Live updates from National Stadium

acheni hizo;ukabila tu.

hiyo ndio lugha yangu,nkazaliwa nkaikuta na nkafundshwa,kiswahili nimekijua juzijuzi tu..wanaochanganya kiswahili na english wanaonekana wastaarabu..jina langu la kilugha,je,unanishauri nibadilishe ili kuondoa ukabila?ACHENI UTUMWA,PENDA VYAKWENU!
Kumaso ngati lyolyafyelile!
 
hiyo ndio lugha yangu,nkazaliwa nkaikuta na nkafundshwa,kiswahili nimekijua juzijuzi tu..wanaochanganya kiswahili na english wanaonekana wastaarabu..jina langu la kilugha,je,unanishauri nibadilishe ili kuondoa ukabila?ACHENI UTUMWA,PENDA VYAKWENU!
Kumaso ngati lyolyafyelile!

gwe mponjori lekane nabho abajanga jobaga nane ndomyana, simba wamefiria wamebaki kutafta mchawi wao wakati wamejiroga wenyewe
 
Etata ejobhaaa omparamani gwango afwile hahahahaaaaaaaa, mwekundu umegeuka mweusii.

du! we jamaa hiyo lugha unanikumbusha kukaja kwa kyela kule katumbasongwe,tena nilivyo na furaha sijui hata cha kufanya kufurahi kwa mnyama kupakatwa,pole sana mkuu,mzee wa Rula,yanga oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
du! we jamaa hiyo lugha unanikumbusha kukaja kwa kyela kule katumbasongwe,tena nilivyo na furaha sijui hata cha kufanya kufurahi kwa mnyama kupakatwa,pole sana mkuu,mzee wa Rula,yanga oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!

kokaja ko ngonga one kaka daa kumbe majirani bana hahahahahaaa, leo nafuraha sana nkamu daaa
 
hiyo ndio lugha yangu,nkazaliwa nkaikuta na nkafundshwa,kiswahili nimekijua juzijuzi tu..wanaochanganya kiswahili na english wanaonekana wastaarabu..jina langu la kilugha,je,unanishauri nibadilishe ili kuondoa ukabila?ACHENI UTUMWA,PENDA VYAKWENU!
Kumaso ngati lyolyafyelile!

kwi! kwi! kwi! kwi! kwi! hiyo sentensi ya mwisho hapo juu toka kwa mkuu Mponjori aliyeambiwa bora akajinyonge leo leo maana ni hatari sana
 
kokaja ko ngonga one kaka daa kumbe majirani bana hahahahahaaa, leo nafuraha sana nkamu daaa

ndomyana loli ulikamu gwangu fijo,mpaka ubhamenyepo awa kikolo kya mwakijambile wule nkamu,loli nhowikye fijo ulu simba akomwige kange nalipo live pa kiwanja ukuketa umpira,ulu ndi pakokoma imizinga gwa konyagi na wamanyani wangu pa bar ja tabata-mawenzi
 
Mhhhhh daaa nnwile ekesto3 dahh mhobnwike nkamu mwakijambile mwikolo bwana namanyele mbamenye
 
we jamaa mmbayaaaaaa wewe! ulijuaje mkuu,du! we mkali kweli watabiri bado wapo akina sheikh yahya,nimekukubali mkuu

Mkuu usishangae huo utabiri wangu. mechi ya Simba na Toto africa matokeo yake tulikua nayo siku moja kabla ya mechi. Sisi ndiyo wazee wa yanga bana chini ya kiongozi watu mzee Akilimali. Hahahahahaaaaaaaa. simba ziziziziziiiiiiiii
 
Back
Top Bottom