Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,987
- 69,380
Hello Tanzania, Sawubona South Africa!
Karibuni katika Kindumbwe ndumbwe cha mtanange wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Africa (Total Energies CAF CC) kati ya wenyeji Simba Sc wa Tanzania na Orlando Pirates wa South Afrika unaochezwa katika dimba la uwanja wa Taifa, "Kwa Mkapa" leo tarehe 17.04.2022 saa 1 jioni kwa saa za Africa Mashariki (saa 12 jioni kule kwa Madiba Bondeni)
Ni mchezo muhimu kwa timu zote 2 hasa ukizingatia hatua hii ni ya mtoano na mechi ni 2 tu nyumbani na Ugenini, kuelekea nusu fainali. Wenyeji Simba wamefuzu hatua hii ya robo fainali baada ya kushika nafasi ya pili kwenye kundi lao D kwa Point 10 nyuma ya RS Berkane ambao nao walikuwa na point 10 pia ila waliwazidi Simba idadi ya magoli ya kufunga. Kwa upande wao Orlando Pirates wao walifuzu hatua hii ya mtoano baada ya kuibuka kidedea katika kundi lao B kwa kuondoka na point 13.
Ni mchezo unaotarajiwa kuwa wa kasi, nguvu, maarifa na akili nyingi kwani Simba wanahitaji kujihakikishia ushindi nyumbani kwa kutaka magoli mengi ili njia iwe nyepesi wanapoenda ugenini huku Orlando Pirates nao wakitaka kulinda heshima kwa Sare au ushindi ugenini ili wapate mtaji mzuri wa kuanzia wakiwa uwanja wao wa Nyumbani "Orlando Stadium". Ikumbukwe hii ni mechi yao ya kwanza kukutana, huko nyuma hawajawahi kuchuana katika mashindano yoyote.
Orlando Pirates yuko nafasi ya 4 kwenye msimamo wa Ligi yao huku Simba akiwa nafasi ya pili katika Msimamo wa Ligi kuu bara
Je, nani ataibuka kidedea? au itakuwa Suluhu/Sare?
Karibu na kaa nami kuanzia mwanzo, katikati na mwisho wa kipute hiki...
Vikosi huenda vikawa (Sio rasmi)
Simba vs Orlando Pirates Predicted XI
Simba (3-4-3): Aishi Manula (GK); Mohamed Husseini, Joash Onyango, Henock Baka; Bernard Morrison, Jonas Mkude, Peter Banda, Shomari Kapombe; Larry Bwalya, Pape Sakho, Chris Mugalu
KOCHA: Pablo Franc Martin / Suleiman Matola
Orlando Pirates (4-3-3): Richard Ofori (GK); Bandile Shandu, Thulani Hlatshwayo, Happy Jele, Bongani Sam; Abel Mabaso, Goodman Mosele, Kabelo Dlamini; Fortune Makaringe, Deon Kavendji, Kwame Peprah
KOCHA: Mandla Ncikazi / Fadlu Davids
+++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
Updates
1100 HRS
Mechi itaoneshwa kupitia
(ZBC 2 Channel namba 406)- AZAM TV
(Channel 225 FOOTBALL- DSTV )
TV3 (Startimes- channel #197 Dish na #131 antenna)
Streaming Links
Watch Simba vs Orlando Pirates live 16:00 17/04/2022 | AMZfootball
1500 HOURS
-Washabiki kutoka sehemu mbalimbali wanazidi kuingia uwanjani
1745
- Kikosi cha Simba kimefika Uwanjani
1800
Kikosi Rasmi cha Orlando pirates
Kikosi cha Orlando Pirates kinachoanza
Ofori Richard (GK) ,Jele Happy, Nyauza Ntsikelelo, Maela Innocent,Shandu Bandile, Mosele Goodman, Monare Thabang, Ndlovu Siphesihle, Hotto Deon, Dlamini Kabelo, Peprah Kwame
Subs: Mpontshane Siyabonga, Sam Bongani, Hlatshwayo Thulani, Mabaso Tshegofatso, Motshwari Ben, Makaringe Fortune, Mntambo Onassis, Lorch Thembinkosi, Lepasa Zakhele
- Kikosi cha Simba kinachoanza
Manula A. ,Kapombe S,Hussein M ,Henock I Wawa SP, Mkude J,Sakho PO ,Lwanga T, Mugalu CK, Morrison B, Banda P.
Subs: Beno,Israel,Nyoni,Kennedy,Mzamiru,Kibu,Bwalya,Kagere,Mhilu
1850
Bado dakika kumi soka lianze hapa kwa Mkapa, mashabiki wamejaza uwanja tayari kusubiri kipute hiki huku wakihanikiza kwa Shangwe na Tochi za simu zao
1855
Timu zimeingia uwanjani tayari
00+1' KICK OFF Simba wameanzisha mpira hapa
2' Simba wanatengeneza shambulizi hapa ila Kapombe anatoa nje inakuwa goalkick
4' Simba wanapata kona wanaanza wanashambukia kidogo ila inadakwa..Orlando Bado hawajatulia
6' Orlando pirates wanaonana vyema wanafikavmbele ila plan yao inaharibiwa na mabeki wa simba
8' Peprah anashambulia pale anamchungulia Manula ila inakuwa nje
10' Simba 0 - Orlando Pirates 0 wakati huo Sakho yupo chini baada ya kuangushwa na Happy Jele
13' Pirates wanawa press Simba, mpira unatoka nje wanauwahi pale ipa wanacheza faulo
19' kuelekea 20 Simba wanawapress Orlando , Mugalu anafosi pale ila kipa Ofori wa Orlando anaanguka chini, madaktari wanamuona
23' Bado game ni 0_0 mpira bado ni wa kusomana
31' Pirates wanaonana vizuri wanazembea, wananyang'anywa..Peprah alichelewa kushambulia
wakati huo mkude anapiga shuti kubwa linaenda nje
35' Simba wanaanza kona wanapasiana vizuri wanashambulia pale ila Ofori anaidaka (0-0)
37' Pirates wanacheza kwa tahadhari ya hali ya juu sana wakionana kwa pasi fupifupi na kuzuia kwa umakini
45' Morrison anashambulia pale inakuwa kona wanaanziana ila hawajafanikiwa
bado dakika 3 kuelekea mapumziko
45' +3 Halftime Simba 0_0 Orlando Pirates... wanapumzika tumeshuhudia kipindi cha kwanza kikiwa na nafasi ndogo sana za utafutaji mabao
HT STATS:
POSSESSION SIMBA 59% Pirates 41%
Shots Simba 8(1) Pirates 3(1)
No Red and Yellow card
Fouls 5 Simba na 8 Pirates
corner 4 Simba na 1 Pirates
45' Second half mpira umeanza
46' Sub kwa Orlando pirates
Makaringe In, kabelo out
wakati huo Pirates wanapata kona inapigwa inatoka nje inakuwa ya kurushwa
50' Pirates wanapress wanapata faulu pale inapigwa na Hotto.. Pepra anaunganisha na kichwa unaenda nje
55' Mugalu anapiga shuti ila kipa analiona
sub kwa Simba
kibu in banda out
Bwalya In Taddeo out
58' Morison anaangushwa nje ya box wanapata faulu...anapiga Morison inagonga ukuta nje inakuwa kona
kona inapigwa na RB ila inadakwa na kipa ofori
60' Sakho anaangushwa chini inakuwa faulo, naona kwa mbali kuna mashabiki wanamulika kipa wa pirates na vitochi vya kijani
Morison anapiga faulu kuuubwa inaenda nje
63' Kapombe yupo chini baada ya kubabuliwa na mpira kutoka kwa Manula
64' Morison anaangushwa kwenye box refa anaamua penalti ila anawasiliana na VAR REVIEW kuangalia uhalali
66' Ofori anapewa kadi ya njano
67' Goooal Kapombe anaifungua simba kwa penalti
68' Simba 1 Orlando Pirates 0
70' Mandla Ncikazi kocha wa pirates anapewa Yellow card
huku Sakho nae anapewa kadi ya njano
75' Pirates wanapata kona
..inapigwa Manula anaokoa...kona tena
Sub kwa Simba Mzamiru In Morison out
Sub kwa pirates Lepasa in Pepra out
78' yellow card kwa Deon Hotto
80' Pirates wanapata kona inapigwa kule inaokolewa
81' Happy Jele anaoneshwa kadi ya njano kwa kumuangusha Kibu D.. Faulu unapigwa na Bwalya anaanza na Kapombe anapaisha juu ya mtambaa panya
85' Simba sub wanafanya
Kagere in Mugalu out
sakho out muhilu in
88' Bado Simba wanaongoza 1 bila wanajaribubkuonana ila mipango inatibuliwa bado wanashambulia lakini
90' Simba wanapress kwa pirates wanapata faulu wanaanza haraka ila Kagere anautoa nje...
Dakika 4 kuelekea Full time
90+1' Pirates wanaanzishiana faulu fupi ila Manula anaudaka
90+3' Pirates wanashambukia langonlabsimba kama nyuki..wanapanga mipango mingi mpira unaenda nje...Goal kick
90+4' Manula anapiga ndeeefu na mpira umeisha
FULL TIME SIMBA 1 ORLANDO PIRATES 0
Je Second Leg itakuwaje kule South Africa mnamo 24/4/2022? Tusubiri
Ahsanteni kwa kuwa nami... Adios Amigo!
Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
View attachment 2190564
Karibuni katika Kindumbwe ndumbwe cha mtanange wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Africa (Total Energies CAF CC) kati ya wenyeji Simba Sc wa Tanzania na Orlando Pirates wa South Afrika unaochezwa katika dimba la uwanja wa Taifa, "Kwa Mkapa" leo tarehe 17.04.2022 saa 1 jioni kwa saa za Africa Mashariki (saa 12 jioni kule kwa Madiba Bondeni)
Ni mchezo muhimu kwa timu zote 2 hasa ukizingatia hatua hii ni ya mtoano na mechi ni 2 tu nyumbani na Ugenini, kuelekea nusu fainali. Wenyeji Simba wamefuzu hatua hii ya robo fainali baada ya kushika nafasi ya pili kwenye kundi lao D kwa Point 10 nyuma ya RS Berkane ambao nao walikuwa na point 10 pia ila waliwazidi Simba idadi ya magoli ya kufunga. Kwa upande wao Orlando Pirates wao walifuzu hatua hii ya mtoano baada ya kuibuka kidedea katika kundi lao B kwa kuondoka na point 13.
Ni mchezo unaotarajiwa kuwa wa kasi, nguvu, maarifa na akili nyingi kwani Simba wanahitaji kujihakikishia ushindi nyumbani kwa kutaka magoli mengi ili njia iwe nyepesi wanapoenda ugenini huku Orlando Pirates nao wakitaka kulinda heshima kwa Sare au ushindi ugenini ili wapate mtaji mzuri wa kuanzia wakiwa uwanja wao wa Nyumbani "Orlando Stadium". Ikumbukwe hii ni mechi yao ya kwanza kukutana, huko nyuma hawajawahi kuchuana katika mashindano yoyote.
Orlando Pirates yuko nafasi ya 4 kwenye msimamo wa Ligi yao huku Simba akiwa nafasi ya pili katika Msimamo wa Ligi kuu bara
Je, nani ataibuka kidedea? au itakuwa Suluhu/Sare?
Karibu na kaa nami kuanzia mwanzo, katikati na mwisho wa kipute hiki...
Vikosi huenda vikawa (Sio rasmi)
Simba vs Orlando Pirates Predicted XI
Simba (3-4-3): Aishi Manula (GK); Mohamed Husseini, Joash Onyango, Henock Baka; Bernard Morrison, Jonas Mkude, Peter Banda, Shomari Kapombe; Larry Bwalya, Pape Sakho, Chris Mugalu
KOCHA: Pablo Franc Martin / Suleiman Matola
Orlando Pirates (4-3-3): Richard Ofori (GK); Bandile Shandu, Thulani Hlatshwayo, Happy Jele, Bongani Sam; Abel Mabaso, Goodman Mosele, Kabelo Dlamini; Fortune Makaringe, Deon Kavendji, Kwame Peprah
KOCHA: Mandla Ncikazi / Fadlu Davids
+++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
Updates
1100 HRS
Mechi itaoneshwa kupitia
(ZBC 2 Channel namba 406)- AZAM TV
(Channel 225 FOOTBALL- DSTV )
TV3 (Startimes- channel #197 Dish na #131 antenna)
Streaming Links
Watch Simba vs Orlando Pirates live 16:00 17/04/2022 | AMZfootball
Live Sport Streams, Watch Football Online, Free TV Channels - SportLemon
Here you will find live sport streaming links and TV channels where you can watch football live, tennis, basketball official... free Sportlemon site with many useful info, online streams and fixtures.
www.sportrar.tv
1500 HOURS
-Washabiki kutoka sehemu mbalimbali wanazidi kuingia uwanjani
- Mgeni Rasmi ni Abdulrahman Kinana
- Teknolojia ya VAR ipo tayari imesetiwa kuhukumu mchezo wa leo, endapo panapotokea matukio 'tata'
1745
- Kikosi cha Simba kimefika Uwanjani
1800
Kikosi Rasmi cha Orlando pirates
Kikosi cha Orlando Pirates kinachoanza
Ofori Richard (GK) ,Jele Happy, Nyauza Ntsikelelo, Maela Innocent,Shandu Bandile, Mosele Goodman, Monare Thabang, Ndlovu Siphesihle, Hotto Deon, Dlamini Kabelo, Peprah Kwame
Subs: Mpontshane Siyabonga, Sam Bongani, Hlatshwayo Thulani, Mabaso Tshegofatso, Motshwari Ben, Makaringe Fortune, Mntambo Onassis, Lorch Thembinkosi, Lepasa Zakhele
- Kikosi cha Simba kinachoanza
Manula A. ,Kapombe S,Hussein M ,Henock I Wawa SP, Mkude J,Sakho PO ,Lwanga T, Mugalu CK, Morrison B, Banda P.
Subs: Beno,Israel,Nyoni,Kennedy,Mzamiru,Kibu,Bwalya,Kagere,Mhilu
1850
Bado dakika kumi soka lianze hapa kwa Mkapa, mashabiki wamejaza uwanja tayari kusubiri kipute hiki huku wakihanikiza kwa Shangwe na Tochi za simu zao
1855
Timu zimeingia uwanjani tayari
00+1' KICK OFF Simba wameanzisha mpira hapa
2' Simba wanatengeneza shambulizi hapa ila Kapombe anatoa nje inakuwa goalkick
4' Simba wanapata kona wanaanza wanashambukia kidogo ila inadakwa..Orlando Bado hawajatulia
6' Orlando pirates wanaonana vyema wanafikavmbele ila plan yao inaharibiwa na mabeki wa simba
8' Peprah anashambulia pale anamchungulia Manula ila inakuwa nje
10' Simba 0 - Orlando Pirates 0 wakati huo Sakho yupo chini baada ya kuangushwa na Happy Jele
13' Pirates wanawa press Simba, mpira unatoka nje wanauwahi pale ipa wanacheza faulo
19' kuelekea 20 Simba wanawapress Orlando , Mugalu anafosi pale ila kipa Ofori wa Orlando anaanguka chini, madaktari wanamuona
23' Bado game ni 0_0 mpira bado ni wa kusomana
31' Pirates wanaonana vizuri wanazembea, wananyang'anywa..Peprah alichelewa kushambulia
wakati huo mkude anapiga shuti kubwa linaenda nje
35' Simba wanaanza kona wanapasiana vizuri wanashambulia pale ila Ofori anaidaka (0-0)
37' Pirates wanacheza kwa tahadhari ya hali ya juu sana wakionana kwa pasi fupifupi na kuzuia kwa umakini
45' Morrison anashambulia pale inakuwa kona wanaanziana ila hawajafanikiwa
bado dakika 3 kuelekea mapumziko
45' +3 Halftime Simba 0_0 Orlando Pirates... wanapumzika tumeshuhudia kipindi cha kwanza kikiwa na nafasi ndogo sana za utafutaji mabao
HT STATS:
POSSESSION SIMBA 59% Pirates 41%
Shots Simba 8(1) Pirates 3(1)
No Red and Yellow card
Fouls 5 Simba na 8 Pirates
corner 4 Simba na 1 Pirates
45' Second half mpira umeanza
46' Sub kwa Orlando pirates
Makaringe In, kabelo out
wakati huo Pirates wanapata kona inapigwa inatoka nje inakuwa ya kurushwa
50' Pirates wanapress wanapata faulu pale inapigwa na Hotto.. Pepra anaunganisha na kichwa unaenda nje
55' Mugalu anapiga shuti ila kipa analiona
sub kwa Simba
kibu in banda out
Bwalya In Taddeo out
58' Morison anaangushwa nje ya box wanapata faulu...anapiga Morison inagonga ukuta nje inakuwa kona
kona inapigwa na RB ila inadakwa na kipa ofori
60' Sakho anaangushwa chini inakuwa faulo, naona kwa mbali kuna mashabiki wanamulika kipa wa pirates na vitochi vya kijani
Morison anapiga faulu kuuubwa inaenda nje
63' Kapombe yupo chini baada ya kubabuliwa na mpira kutoka kwa Manula
64' Morison anaangushwa kwenye box refa anaamua penalti ila anawasiliana na VAR REVIEW kuangalia uhalali
66' Ofori anapewa kadi ya njano
67' Goooal Kapombe anaifungua simba kwa penalti
68' Simba 1 Orlando Pirates 0
70' Mandla Ncikazi kocha wa pirates anapewa Yellow card
huku Sakho nae anapewa kadi ya njano
75' Pirates wanapata kona
..inapigwa Manula anaokoa...kona tena
Sub kwa Simba Mzamiru In Morison out
Sub kwa pirates Lepasa in Pepra out
78' yellow card kwa Deon Hotto
80' Pirates wanapata kona inapigwa kule inaokolewa
81' Happy Jele anaoneshwa kadi ya njano kwa kumuangusha Kibu D.. Faulu unapigwa na Bwalya anaanza na Kapombe anapaisha juu ya mtambaa panya
85' Simba sub wanafanya
Kagere in Mugalu out
sakho out muhilu in
88' Bado Simba wanaongoza 1 bila wanajaribubkuonana ila mipango inatibuliwa bado wanashambulia lakini
90' Simba wanapress kwa pirates wanapata faulu wanaanza haraka ila Kagere anautoa nje...
Dakika 4 kuelekea Full time
90+1' Pirates wanaanzishiana faulu fupi ila Manula anaudaka
90+3' Pirates wanashambukia langonlabsimba kama nyuki..wanapanga mipango mingi mpira unaenda nje...Goal kick
90+4' Manula anapiga ndeeefu na mpira umeisha
FULL TIME SIMBA 1 ORLANDO PIRATES 0
Je Second Leg itakuwaje kule South Africa mnamo 24/4/2022? Tusubiri
Ahsanteni kwa kuwa nami... Adios Amigo!
Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
View attachment 2190564