Simba sc V/s Toto African: Live updates from National Stadium

Simba sc V/s Toto African: Live updates from National Stadium

Utavifutaje sasa? Yanga wanaume wa ukweli wakipanda juu huwa hawashuki hadi mwisho wa ligi yaani hadi waneno haya yasikike 'mgambire enough Yanga' ndipo wanaume wanashuka na kusema 'OK' huku wakibeba kombe lao kama kawaida.

Sikutegemea maneno tofauti na hayo uliyoandika hapa, time will tell.
 
Utavifutaje sasa? Yanga wanaume wa ukweli wakipanda juu huwa hawashuki hadi mwisho wa ligi yaani hadi waneno haya yasikike 'mgambire enough Yanga' ndipo wanaume wanashuka na kusema 'OK' huku wakibeba kombe lao kama kawaida.

Kaka umeenda mbali mno dah!!!!!!!!!!punguza kasi
 
Toto Africa Time , wafunge hao Simba goli 1-0 warudi zao msimbazi waka mfukuze rage. pole sana rage leo ndiyo hukumu yako kwani ulikuwa unafikiria mpira ni maneno na fitina? mpira ni strateges , haahhhaaaaa
Sikutegemea maneno tofauti na hayo uliyoandika hapa, time will tell.
 
Habari wanajamvi,kama kawaida yetu leo tutakuwa tukijuzana matokeo na matukio mbalimbali yatakayojiri uwanja wa taifa na vingine mikoani,Mzee wa Rula mimi nitakuwepo uwanja wa taifa live kushuhudia mechi ya simba na toto africa,nakumbuka ulinilaumu kuwa naanzisha thread halafu siendi kiwanjani wakati mechi zote za dar huwa nakuwepo pale taifa

Bado ngoma haijaanza???!
 
Yes! Kwa Yanga ni mwendo mdundo tu wa 'kunyaza' ama 'katerero' kila tunayekutana naye sharti alowanishe godoro, hatuna cha mswalie mtume.

Punguza ukali wa maneno mkuu,najua yanga ni kiboko kwa sasa lakini dah!!!!!!!!!!manneno mazito kwelikweli hayo.
 
nitafurahi sanaaaaaaa leo mnyama akichezea kichapo. lazima nifungue champagne
 
Nipo taifa,simba walivotia mguu tu uwanjani wamezomewa na yanga mwanzo mwisho,mashabiki simba wapole kama wapo mkutanoni
 
Hakuna updates naona fitna tupu zinaendelea hapa, Mpira umeanza au bado?
 
Punguza ukali wa maneno mkuu,najua yanga ni kiboko kwa sasa lakini dah!!!!!!!!!!manneno mazito kwelikweli hayo.

Nduhu tabhu Mkuu, wabheja sana. Mzee wa Rula alikuwa ananipandishia jazba alipokuwa akibisha vitu vya ukweli.
 
Hivi kuna timu hapa Tizedaa inanunua mechi kushinda yanga? Kama ipo basi huo si mlungula utakuwa mlungulo!
 
Namanyele,Makoye Matale ziko wapi Updates humu ndani,semeni kama mtu kashauawa,mmekaa kimya ama hamko ndani ya Taifa nini?????
 
aaa, mkuu, hujui nguvu ya pesa? Rushwa ni sawa na kusafiri na ndege angani huna hofu ya safari kuvunjwa na kujaa kwa mto, ingekuwa rushwa haifungi goli mbona kule azam kumechimbika?

te te te mdau umenifuraisha kwani wahenga walisema pesa ni sabuni ya roho, si waona kombe la msimu uloisha na matokeo ya sabuni ya roho, kt cm ya mchezaji wa azam ikasomeka akimuuliza jamaa wa friends of simba utanipa sh ngapi? Swali halkujulikana eh makubwa sio rushwa iyo? Na je kesi ya mwakingwe.. Iliishia wapi? Ilkuwa rushwa pia iyo? Jaman pesa inanunua ata makombe msim...zi
 
Nduhu tabhu Mkuu, wabheja sana. Mzee wa Rula alikuwa ananipandishia jazba alipokuwa akibisha vitu vya ukweli.

Hapana siwezi kumruhusu akaendeleza maneno makali namna hii mkuu wangu,ni lazima awe mtiifu na hasa kwa babu zake kama sisi Namhala>
 
Back
Top Bottom