Simba sc V/s Toto African: Live updates from National Stadium

Simba sc V/s Toto African: Live updates from National Stadium

Namanyele,Makoye Matale ziko wapi Updates humu ndani,semeni kama mtu kashauawa,mmekaa kimya ama hamko ndani ya Taifa nini?????

Mkuu mie niko bush, hakuna redio inayoshika. Nategemea JF pekee kupata updates toka kwa Wakuu walioko Taifa na kwingineko. Jamani leteni raha.
 
simba nguvu moja , taifa kubwa .watasema sana hao yeboyebo na fitina zao lakini mwisho watanywea mbele ya mnyama atakapochukua uchampion.simba chapa ho vitoto vya africa na vinamiezi minne havijapata salary
 
Naambiwa JKT Mgambo anaongoza goli moja kutoka Mkwakwani.
 
Simba 0-0 Toto Africa.

Haya ndo maneno sasa,endelea mkuu Masuke naona sasa umeanza vitu vyako ulikuwa wapi???,unajua sisi wa Bush mara nyingi tunatumia JF kupata kila kitu ndo maana unaona tunakuwa wasumbufu sana.kwa mfano mimi sasa hivi niko ndani ya Machimbo chini nachimba dhahabu huku Nyarugusu ndio maana kila wakatio najitahdi kuchungulia humu ndani kupata matokeo.
 
hivi kuna timu hapa tizedaa inanunuabmechi kushinda yanga? Kama ipo basi hiyo huo si mkungula utakuwa mlungulo!

crocozilla kume na wewe huwa una matatizo yanayohitaji tiba etieeeeeeeeeeeeeeee,usirudie tena kuongea maneno kama haya mbele za watu angalia,ogotolwa obhebhe!!!!!!!!!!!!!!!
 
quote_icon.png
By Masuke Mgambo JKT 1-1 Azam.

Umeona aliyetoa majibu?
 
Back
Top Bottom