namanyele
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,852
- 611
Habari wanajamvi,kama kawaida yetu leo tutakuwa tukijuzana matokeo na matukio mbalimbali yatakayojiri uwanja wa taifa na vingine mikoani,Mzee wa Rula mimi nitakuwepo uwanja wa taifa live kushuhudia mechi ya simba na toto africa,nakumbuka ulinilaumu kuwa naanzisha thread halafu siendi kiwanjani wakati mechi zote za dar huwa nakuwepo pale taifa