Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,015
- 16,447
Sikupingi,fitna zipo..unajua tatizo lililopo Simba sasa hivi ni ubahili hasa kwenye kutoa hela kwenye "michongo" ya nje wa uwanja..unajua kwanini? Kuna viongozi pale ni much know..eti timu iko ki profesional..kwahyo hawaendekezi hizi habari..matokeo yake tunayaona..!