NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,206
- 12,738
Kila nikifungulia Redio ni Yanga Sc vs Mamelodi Tena wachambuzi wanaamini kabisa kuwa Yanga sc itafungwa maana wanavyoipamba Mamelody Fc Kama shabiki una moyo mdogo unaweza usiende uwanjani.
Hii Yanga Sc itawashangaza Wachambua mchele wa kibongo na Africa nzima. Hii ndiyo nafasi ya Yao kwasi, Aziz k, Pacome, Max Nzengeli kuonekana kimataifa na mataifa Yao kuona umuhimu wao.
Wachambuzi hawaongelei mechi ya Simba sc vs Al ahly wanaamini kuwa Simba sc kamzoea Al ahly sc na siyo mechi ngumu Ila kiukweli wachambuzi wa MCHONGO wanalipwa ili kuwafariji AYUBU FC.
Hii Yanga Sc itawashangaza Wachambua mchele wa kibongo na Africa nzima. Hii ndiyo nafasi ya Yao kwasi, Aziz k, Pacome, Max Nzengeli kuonekana kimataifa na mataifa Yao kuona umuhimu wao.
Wachambuzi hawaongelei mechi ya Simba sc vs Al ahly wanaamini kuwa Simba sc kamzoea Al ahly sc na siyo mechi ngumu Ila kiukweli wachambuzi wa MCHONGO wanalipwa ili kuwafariji AYUBU FC.