F T: JKT Tanzania FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Isamuhyo Stadium | 15.02.2024

uran

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
7,580
10,813
Match Day!
20240215_113106.jpg

20240215_112344.jpg

JKT Tanzania, Wanaialika Simba SC leo kwenye uwanja wa Mej. General

Isamuhyo, -Mbweni Dar es Salaam.​

Mechi itachezwa Majira ya Saa 10:00 Jioni.

Jkt wanaingia kwenye huu mchezo wa kukamilisha Mzunguko wa kwanza wakiwa na Points 16. Nafasi ya 12. Wameshinda Michezo 4, Wametoka Sare mara 4 na Wamepoteza Michezo 6.

Simba wako Nafasi ya Pili wakiwa na points 33.
Mchezo huu ni muhimu sana kwa Simba kushinda ili kuweza kukamilisha mzunguko wa kwanza akiwa na points 36, tofauti ya Point 4 na anayeongoza ligi.

KIKOSI CHA JKT-TANZANIA KINACHOANZA.
20240215_154520.jpg


KIKOSI CHA SIMBA KINACHOANZA LEO.
20240215_154706.jpg

20240216_002245.jpg

All the Best Mnyama....
#nguvumoja#.
 
Mbumbumbu Fc wanaingia uwanjani kifua mbele wakiwa wamenyakua kombe la Mayele
 
Back
Top Bottom