Simba SC 'tumezubaa' sana, 'tunakomolewa' huku Yanga SC ikitumia mwanya huu 'Kujiimarisha' 'zaidi 'Kimkakati' ili kuwa 'Mabingwa wa NBC Premier League

Sikupingi,fitna zipo..unajua tatizo lililopo Simba sasa hivi ni ubahili hasa kwenye kutoa hela kwenye "michongo" ya nje wa uwanja..unajua kwanini? Kuna viongozi pale ni much know..eti timu iko ki profesional..kwahyo hawaendekezi hizi habari..matokeo yake tunayaona..!
 
Aisee leo umenifumbua macho mkuu, Kumbe kwa miaka minne mfululizo Simba amechukua ubingwa kwa hizi mbinu ulizotutajia hapa chini?
Rushwa 45%,
Uchawi 40%
Propaganda 10%
Uwezo wa kiuchezaji 5%
Subili wale mbumbumbu wenzako wasiojua kutumia akili zao vizuri watakavokushambulia kwa Mada hii iliyojaa ukweli mtupu

Kwahiyo unamaanisha Yanga nao sababu wanaongoza sasa hivi wanatumia
45%Rushwa
40%Uchawi
5%Uwezo kiuchezaji?
Au inawahusu Simba Tuu???
 
Defencing mechanism yako ni matusi badala ya hoja

Unapotosha watu humu ikuambiwa ukweli unatukana

Uwanja wa ushirika unatumika kwa shughuli za kitaifa, mama yuko huku. Wewe unakuja kupotosha watu huku eti Yanga kafanya umafia.

Silaha yako matusi, duuh!!
Bora na nyie mmemshtukia huyo k@azi.
 
Hapo hamna hata wa kumtisha seif magari,hao wote ukiwajumlisha unapata seif mmoja,hapo bado kuna davis mosha,bin kleb,chanji,Yanga hadi shabiby ndani,mikia mjipange hasa
Nikipewa hilo Jukumu kisha nikapewa Kassim Dewji, Juma Nkamia, Crescetius Magori, Idi Kajuna, Mwina Kaduguda na Hassan Hasanoo Yanga SC akiwa Bingwa mwaka huu njooni Mnichije.
 
Defencing mechanism yako ni matusi badala ya hoja

Unapotosha watu humu ikuambiwa ukweli unatukana

Uwanja wa ushirika unatumika kwa shughuli za kitaifa, mama yuko huku. Wewe unakuja kupotosha watu huku eti Yanga kafanya umafia.

Silaha yako matusi, duuh!!
Hopeless....!!!!
 
Kwa masikitiko makubwa Asubuhi ya leo nilianzisha Uzi hapa JamiiForums nikisema kuwa Kitengo cha Umafia Simba SC Kinepwaya na kwamba nipewe Mimi na Wenzangu Sita (6) na Yanga SC hatokuwa Bingwa kwa Mshangao huo Uzi siuoni (kwa Lugha sahihi ni kama vile Umefutwa) kwasababu wazijuazo Walioufuta.

Ni kwamba kwa sasa naona Mapungufu makubwa ya Kimkakati (Kimafia) ndani ya Klabu yangu ya Simba kiasi kwamba Yanga SC wameshaanza kuyatumia Kujinufaisha nayo na wanaelekea Kufanikiwa.

Kitengo cha Umafia ( Mikakati ) cha Simba SC kingekuwa imara kamwe Mchezo wetu na Mtibwa Sugar FC usingepelekwa Manungu ila kutokana na Kuzubaa Kwetu, Kujisahau na Kuridhika TFF (hasa Bodi ya Ligi) kwa Kushirikiana na Yanga SC na Matajiri wao GSM sasa wanatumaliza tu.

Viongozi wa Simba SC waliomba Mechi isichezwe Manungu wamekataliwa kwa Kigezo kuwa Uwanja ni mzuri ila Yanga SC wameomba Mechi yao isichezwe Uwanja wa Ushirika na ikachezwe Sheikh Amri Abeid Kaluta Arusha wamekubaliwa wakati hali ya Uwanja wa Manungu ni sawa na ya Uwanja wa Ushirika.

Walichokifanya Yanga SC ni kupitia kwa Mtu ( Shabiki ) wao mkubwa IGP Sirro ili Kumshawishi ahakikishe Mevhi haichezwi Ushirika na kwa Kuzuga ( Kutuzuga ) Jeshi la la Polisi wakaja na Taarifa ya Utetezi kuwa Mchezo huo umehamishwa Ushirika kwakuwa Uwanja utatumika kwa Shughuli za Kijeshi wakati si kweli ila ni Mpango Maalum wa kuitengenezea Yanga SC Mazingira ya Ushindi.

Viongozi wa Simba SC wasichokijua ni kwamba baada ya Kutunishiana Misuli kwa CEO Barbara Gonzalez na Mwenyekiti wa Simba SC ( Wanachama ) Murtaza Mangungu na TFF pamoja na Bodi ya Ligi ( TPLB ) wametengeneza Bifu Kubwa ambapo Yanga SC na GSM yao wameamua Kutumia mwanya huu ( huo ) kwa Kuwahonga baadhi ya Viongozi wa TFF na TPLB ili waikomoe Simba SC ili iangushe ( ipoteze ) Alama ( points ) na Yanga SC aweze Kutuacha kwa mbali sana na ikiwezekana atangaze Ubingwa mapema mno na kwa GENTAMYCINE ninavyoona na Kuyasikia naliona hili Kufanikiwa.

UMAFIA ninaoumaanisha hapa unahusu Mambo Makuu matatu ambayo ni...

1. Rushwa
2. Uchawi
3. Propaganda

Najua kwa Wageni wa Soka la Bongo hapa mtanishangaa GENTAMYCINE, ila kwa wale Watu wa Mpira naamini wamenielewa na wala hapa tusifichane Klabu za Simba na Yanga Mafanikio yao ya Uwanjani Kitakwimu ni kama ifuatavyo.....

1. Rushwa....45%
2. Uchawi...40%
3. Propaganda....10%
4. Uchezaji...5%

Simba SC mpaka tuje Kushtuka kuwa tunahujumiwa na TFF na TPLB huku Yanga SC na GSM yao wakiutumia mwanya huu ( huo ) Kujinufaisha Kiushindi tayari Yanga SC watakuwa Mabingwa wa NBC Premier League Msimu wa 2021 / 2022.

Simba SC tuendeleeni tu Kuzubaa sawa?
Kwa ile forward yenu makolo fc hata mcheze kwa mkapa mechi zote zilizobakia bado hamtoboi msimu huu
 
Back
Top Bottom