Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 26,839
- 50,028
Sinakocha msaidizi namba 3,swali lingine??
Sinakocha msaidizi namba 3,swali lingine??
Kashushwa cheoNa Mgunda Jee?
kama alivyoonewa cedric kazeMgunda wamemuonea Sana , Ila bas watamtafuta tena
Mumeo Cedric Kaze simjui.. kama unampenda sana mumeo sio Mbaya ukaanza kumpa ushaurikwanini ushauri huu hujampa cedric kaze pale UTOPOLO???
Simba inamtangaza muda huu aliyekuwa kocha wa Vipers SC, kama kocha wao mkuu mpya mpaka mwaka 2025 sambamba na Juma Mgunda ambaye atakuwa ni msaidizi wake.
Kocha huyo atajiunga na kikosi cha timu hiyo kilichopo Zanzibar katika mashindano ya Kombe la Mapinduzi kuanza majukumu rasmi.
Wakati mgunda Anaenda simba alishaambiwa kabisa kua ataiongoza timu kwa mda wkt zoez la kutafuta kocha mkuu likiendelea na hvo bas ujio huu sio na haiwez kua surprise kwa mgunda kwa sababu aliutambua tangu mwanzon,,wanadharau makocha wa ndani, Mgunda kakosea wapi? Badala ya kusajili wachezaji tunasajili kocha
Vp YANGA haijachukua MAKOMBE?????Na Hersi alisema msipochukua kombe aulizwe yeye
Umeona eehe, wanakuja kuuwa vipaji vya wazawa na kujichotea mihela ya wajingaWatu wanapambania 10% zao . udalali nao umekuwa mwingi sana Kwenye usajili wa makocha na wachezaji
Hatimaye hakumalizaHuyu hatomaliza misimu miwili
Kiboko kimegeukaHuyu kocha ni kiboko ya Yanga aliwahi kuifungu X2.
Alibeba nguo 6 tuRafiki wa karibu wa oele...asije kusingizia kwamba alikua kwenye msiba..yaani ushauri wa muhimu ni aje na nguo chache na asihangaike kuleta familia yake huku
TawileHuyu hatomaliza misimu miwili
🤔🤔Kwanini tunamdharau Mgunda? Kaikuta timu katikati ya Ligi kaipeleka mpaka makundi ya CAF viongozi wetu wapuuzi sana