Simba SC Tanzania yamtambulisha kocha mpya Robertinho

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,244
103,937


Simba inamtangaza muda huu aliyekuwa kocha wa Vipers SC, kama kocha wao mkuu mpya mpaka mwaka 2025 sambamba na Juma Mgunda ambaye atakuwa ni msaidizi wake.

Kocha huyo atajiunga na kikosi cha timu hiyo kilichopo Zanzibar katika mashindano ya Kombe la Mapinduzi kuanza majukumu rasmi.

36F6039D-28E5-4B8E-A948-407B71C98376.jpeg


483C66DF-B466-49D5-8E93-CB41A0CA89AC.jpeg
 
Yaaan Timu zetu hizi kubwa bila kuwa na makocha weupe wanaona bado kabisa..
Mgunda nawe amsha tafuta Timu chap, usibaki hapo kama msaidizi
 
- Simba inamtangaza muda huu aliyekuwa kocha wa Vipers SC, kama kocha wao mkuu mpya mpaka mwaka 2025 sambamba na Juma Mgunda ambaye atakuwa ni msaidizi wake.

Kocha huyo atajiunga na kikosi cha timu hiyo kilichopo Zanzibar katika mashindano ya Kombe la Mapinduzi kuanza majukumu rasmi.

Congratulations Coach @robertinho7.coach
, Go and make Simba fans Proud.
 
- Simba inamtangaza muda huu aliyekuwa kocha wa Vipers SC, kama kocha wao mkuu mpya mpaka mwaka 2025 sambamba na Juma Mgunda ambaye atakuwa ni msaidizi wake...
Mwanetu Matola amechinjiwa baharini?
 
wanadharau makocha wa ndani, Mgunda kakosea wapi? Badala ya kusajili wachezaji tunasajili kocha
Tuna kasumba ya kuwaamini zaidi wageni kuliko wazawa. Ila ki takwimu Mgunda alikuwa ni kocha aliyefanya vizuri mpaka sasa kwanzia klabu bingwa hadi ligi kuu, Pamoja na kuwa na wachezaji ambao hawana consistency.

Ilikuwa kuimarisha maeneo muhimu tu yenye mapungufu ya wachezaji. Ila Simba ya mgunda ndio iliyoongoza kwa kufunga magoli mengi zaidi na kuruhusu magoli machache zaidi.
 
Back
Top Bottom