GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,738
- 109,170
Na ndiyo maana wenye Akili kwa Kuujua Ugumu wa Kombe husika ( CAFCL ) na hatua ambayo Simba SC imefikia na kwa Kufa Kiume Juzi kwa Wydad Casablanca FC mpaka Waarabu wanaacha Kushangilia Wanasali na Kulia tunasema hatuna Deni na Wachezaji wa Simba SC hadi Kocha na Benchi lake lote la Ufundi.
Hasira zetu tutazimalia ASFC Tanga pale tukimaliza Kumtia Adabu Azam FC Jumamosi ijayo kisha Kukutana na Kiherehere Mmoja na Safari hii kuna Uwezekano nisimpige Bao Mbili na sasa nikapiga kabisa Mkono ( Goli 5 ) au Saba ( 7 ) kabisa za Horoya FC.
Mliicheka Simba SC Kufungwa na Wydad Casablanca FC Juzi na Kutolewa mkisema ni Timu Mbovu je, vipi sasa kwa Timu ya Raja Casablanca FC ambayo hata nyie Viherehere FC mliishabikia mno pale iliponifunga Ndani Nje huku ikiwa ni Timu Kubwa, Maarufu na Tajiri kuliko Simba SC?
Nasubiri majibu yenu Wanafiki Okay?
Hasira zetu tutazimalia ASFC Tanga pale tukimaliza Kumtia Adabu Azam FC Jumamosi ijayo kisha Kukutana na Kiherehere Mmoja na Safari hii kuna Uwezekano nisimpige Bao Mbili na sasa nikapiga kabisa Mkono ( Goli 5 ) au Saba ( 7 ) kabisa za Horoya FC.
Mliicheka Simba SC Kufungwa na Wydad Casablanca FC Juzi na Kutolewa mkisema ni Timu Mbovu je, vipi sasa kwa Timu ya Raja Casablanca FC ambayo hata nyie Viherehere FC mliishabikia mno pale iliponifunga Ndani Nje huku ikiwa ni Timu Kubwa, Maarufu na Tajiri kuliko Simba SC?
Nasubiri majibu yenu Wanafiki Okay?