Simba sc wanavyowahitaji mashabiki kwenye mchezo dhidi ya Wydad Casablanca, hata ukiwa na 500/= ukifika getini hakuna wa kukuzuia utaingia tu.

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,280
12,774
Ukweli usemwe hakuna haja ya kuficha ficha, kwa Sasa viongozi wa Simba sc wanaumiza vichwa/kukuna vichwa ni jinsi gani Mashabiki watapatikana katika mchezo wao na Wydad Casablanca.

Nikitazama mchezo wa Simba sc vs Kagera Sugar FC mashabiki walikua ni wa kuunga unga tofauti kabisa na mwanzo ilivyokua kwa mashabiki kujaa katika uwanja, na hiyo inatokana na sababu zifuatazo.

(1) Mechi ngumu dhidi ya Wydad Casablanca, mashabiki wanaona kabisa Kama timu ilipoteza mbele ya Asec kwa kudondosha point mbili je kwa mwarabu mwenye hasira itakuaje??

(2)Chuki ya mashabiki na viongozi wa klabu ya Simba sc, kutokana na mwenendo mbaya wa matokeo mashabiki walishinikiza baadhi ya viongozi waachie ngazi lakini haijawa hivyo, hii nayo imeleta mgomo baridi kwa mashabiki kuja uwanjani.

Kiingilio kwa mzunguko ni shilingi 3000/=, hamasa ya Ahmedy Ally kumleta misondo tusitegemee uwanja kujaa Kama ilivyokua mwanzo kipindi wanasimba wanafuraha na timu Yao.

Kwa mwendo huo Simba sc wanahitaji sana mashabiki/wanauhaba wa mashabiki na ukiangalia siku hiyo ni siku ya kazi Basi ni Changamoto kwa viongozi wa Simba sc.

SIKU HIYO KAMA UNA SH 500, 1000 USISITE KUFIKA UWANJANI TIKETI UTAZIKUTA MLANGONI.
 
Ukweli usemwe hakuna haja ya kuficha ficha, kwa Sasa viongozi wa Simba sc wanaumiza vichwa/kukuna vichwa ni jinsi gani Mashabiki watapatikana katika mchezo wao na Wydad Casablanca.

Nikitazama mchezo wa Simba sc vs Kagera Sugar FC mashabiki walikua ni wa kuunga unga tofauti kabisa na mwanzo ilivyokua kwa mashabiki kujaa katika uwanja, na hiyo inatokana na sababu zifuatazo.

(1) Mechi ngumu dhidi ya Wydad Casablanca, mashabiki wanaona kabisa Kama timu ilipoteza mbele ya Asec kwa kudondosha point mbili je kwa mwarabu mwenye hasira itakuaje??

(2)Chuki ya mashabiki na viongozi wa klabu ya Simba sc, kutokana na mwenendo mbaya wa matokeo mashabiki walishinikiza baadhi ya viongozi waachie ngazi lakini haijawa hivyo, hii nayo imeleta mgomo baridi kwa mashabiki kuja uwanjani.

Kiingilio kwa mzunguko ni shilingi 3000/=, hamasa ya Ahmedy Ally kumleta misondo tusitegemee uwanja kujaa Kama ilivyokua mwanzo kipindi wanasimba wanafuraha na timu Yao.

Kwa mwendo huo Simba sc wanahitaji sana mashabiki/wanauhaba wa mashabiki na ukiangalia siku hiyo ni siku ya kazi Basi ni Changamoto kwa viongozi wa Simba sc.

SIKU HIYO KAMA UNA SH 500, 1000 USISITE KUFIKA UWANJANI TIKETI UTAZIKUTA MLANGONI.
Hii ni hujuma ya yanga.yanga wamekuwa na aina ya watu wanaofanya hujuma kwa ustadi mkubwa kama ambavyo tumezoea kusikia propaganda za ccm.

Wana aina ya watu waongo na matapeli wenye uwezo mkubwa wa kuwaingiza watu kwenye mfumo wao.Mfano ni huyu mleta mada.

Sisi wana Simba tumeona mabadiliko makubwa katika mechi mbili na kocha mpya.Hatuna mawazo ya kuhujumu timu yetu hata mkisemaje
 
Ukweli usemwe hakuna haja ya kuficha ficha, kwa Sasa viongozi wa Simba sc wanaumiza vichwa/kukuna vichwa ni jinsi gani Mashabiki watapatikana katika mchezo wao na Wydad Casablanca.

Nikitazama mchezo wa Simba sc vs Kagera Sugar FC mashabiki walikua ni wa kuunga unga tofauti kabisa na mwanzo ilivyokua kwa mashabiki kujaa katika uwanja, na hiyo inatokana na sababu zifuatazo.

(1) Mechi ngumu dhidi ya Wydad Casablanca, mashabiki wanaona kabisa Kama timu ilipoteza mbele ya Asec kwa kudondosha point mbili je kwa mwarabu mwenye hasira itakuaje??

(2)Chuki ya mashabiki na viongozi wa klabu ya Simba sc, kutokana na mwenendo mbaya wa matokeo mashabiki walishinikiza baadhi ya viongozi waachie ngazi lakini haijawa hivyo, hii nayo imeleta mgomo baridi kwa mashabiki kuja uwanjani.

Kiingilio kwa mzunguko ni shilingi 3000/=, hamasa ya Ahmedy Ally kumleta misondo tusitegemee uwanja kujaa Kama ilivyokua mwanzo kipindi wanasimba wanafuraha na timu Yao.

Kwa mwendo huo Simba sc wanahitaji sana mashabiki/wanauhaba wa mashabiki na ukiangalia siku hiyo ni siku ya kazi Basi ni Changamoto kwa viongozi wa Simba sc.

SIKU HIYO KAMA UNA SH 500, 1000 USISITE KUFIKA UWANJANI TIKETI UTAZIKUTA MLANGONI.
Mambo ya simba hayakuhusu wewe UTOPOLO
 
Hii ni hujuma ya yanga.yanga wamekuwa na aina ya watu wanaofanya hujuma kwa ustadi mkubwa kama ambavyo tumezoea kusikia propaganda za ccm.

Wana aina ya watu waongo na matapeli wenye uwezo mkubwa wa kuwaingiza watu kwenye mfumo wao.Mfano ni huyu mleta mada.

Sisi wana Simba tumeona mabadiliko makubwa katika mechi mbili na kocha mpya.Hatuna mawazo ya kuhujumu timu yetu hata mkisemaje
Hujuma ya Yanga ilikua kukupiga zile goli 5 hayo mengine mtajuana wenyewe
 
MBONA MAMELODI HUWA HAMUONGEI WAKIWALIPIA MASHABIKI.
Msivyoweza kufikiri, mnadhani kujilinganisha na Mamelodi kwenye hili ni jambo zuri kwenu kisa ni timu yenye mafanikio hivi karibuni mnasahau hao wanafanya hivyo kwa sababu wamehangaika kupata mashabiki wa kudumu kulinganisha timu kongwe zilivyo.

Mamelodi wangekuwa na uhakika wa kuingiza mashabiki 10,000 tu wanaolipa katika mechi zao wasingefanya hizi mambo.

Mbona hamtoi mifano kwa timu zenye mashabiki wa uhakika tuone kama wana huu utamaduni wa kununulia mashabiki wao tiketi.
 
Msivyoweza kufikiri, mnadhani kujilinganisha na Mamelodi kwenye hili ni jambo zuri kwenu kisa ni timu yenye mafanikio hivi karibuni mnasahau hao wanafanya hivyo kwa sababu wamehangaika kupata mashabiki wa kudumu kulinganisha timu kongwe zilivyo.

Mamelodi wangekuwa na uhakika wa kuingiza mashabiki 10,000 tu wanaolipa katika mechi zao wasingefanya hizi mambo.

Mbona hamtoi mifano kwa timu zenye mashabiki wa uhakika tuone kama wana huu utamaduni wa kununulia mashabiki wao tiketi.
NENDA TP MAZEMBE MZEE.
 
Ukweli usemwe hakuna haja ya kuficha ficha, kwa Sasa viongozi wa Simba sc wanaumiza vichwa/kukuna vichwa ni jinsi gani Mashabiki watapatikana katika mchezo wao na Wydad Casablanca.

Nikitazama mchezo wa Simba sc vs Kagera Sugar FC mashabiki walikua ni wa kuunga unga tofauti kabisa na mwanzo ilivyokua kwa mashabiki kujaa katika uwanja, na hiyo inatokana na sababu zifuatazo.

(1) Mechi ngumu dhidi ya Wydad Casablanca, mashabiki wanaona kabisa Kama timu ilipoteza mbele ya Asec kwa kudondosha point mbili je kwa mwarabu mwenye hasira itakuaje??

(2)Chuki ya mashabiki na viongozi wa klabu ya Simba sc, kutokana na mwenendo mbaya wa matokeo mashabiki walishinikiza baadhi ya viongozi waachie ngazi lakini haijawa hivyo, hii nayo imeleta mgomo baridi kwa mashabiki kuja uwanjani.

Kiingilio kwa mzunguko ni shilingi 3000/=, hamasa ya Ahmedy Ally kumleta misondo tusitegemee uwanja kujaa Kama ilivyokua mwanzo kipindi wanasimba wanafuraha na timu Yao.

Kwa mwendo huo Simba sc wanahitaji sana mashabiki/wanauhaba wa mashabiki na ukiangalia siku hiyo ni siku ya kazi Basi ni Changamoto kwa viongozi wa Simba sc.

SIKU HIYO KAMA UNA SH 500, 1000 USISITE KUFIKA UWANJANI TIKETI UTAZIKUTA MLANGONI.
Acha ujinga Utopolo kiingilio sh ngapi? Na Yalivyo hayana Akili wenye nazo 2 tu. Lazima ukanunue jezi "penchoti"

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom