MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Ama kabla ya Mechi na Azam FC Keshokutwa Jumanne au baada Kocha Mkuu wa Simba SC atafungashiwa Virago ( atafukuzwa ) pamoja na baadhi ya Watendaji wa Benchi la Ufundi na Timu atapewa Kocha Msaidizi Juma Mgunda na Kocha wa Vijana sasa Selemani Matola atarejeshwa Kikosini kumsaidia Mgunda na hawa Watamalizia Msimu wote na Simba SC.
Na tena kama leo Yanga SC itamfunga TP Mazembe kwa Mkapa haya Maamuzi ya Kuachana na Kocha Mbrazili Robertinho Oliviera yatafanyika haraka ili Kuwatuliza Mashabiki wa Simba SC ambao watakuwa na Hasira za Kufungwa Goli 3 kwa 0 na Raja Casablanca FC jana na huku wakiwa Wanataniwa na Watani zao Yanga SC.
Ahueni ( pona pona ) ya Kocha Mkuu wa Simba SC na baadhi ya Watendaji wake Kufukuzwa itatokea endapo tu na Yanga SC nao leo Watafungwa na TP Mazembe FC kwa Mkapa kwakuwa Wote watachekana na Presha haitokuwa Kubwa ila Yanga SC ikishinda leo na ikitokea na Jumanne Simba SC akafungwa au akatoka Sare / Suluhu na Azam FC katika Mechi yao ya NBC Premier League tegemeeni huu Utabiri wangu wa Kocha Mkuu wa Simba SC Mbrazili na baadhi ya Watendaji wake Kufukuzwa na Mgunda na Matola Kukabidhiwa Timu mpaka mwisho wa Msimu.
Ukibarikiwa na Mwenyezi Mungu hasa kuwa Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person kama MINOCYCLINE ni raha sana.
Nilionya mapema kwa kuja na Uzi Wiki Mbili kabla ya Simba SC kucheza Jana na Raja Casablanca FC Jana kuwa Raja Casablanca FC wako juu ya Simba SC katika kila Idara na kwamba Simba SC itafungwa tu nikaishia Kupuuzwa, Kutukanwa na Kudhihakiwa na kama Kawaida nilichokisema Kikatokea kwa Mkapa Jana.
Na hata hili la Kocha Mkuu wa Simba SC na baadhi ya Watendaji wake Kufukuzwa ama kabla ya Mechi na Azam FC Jumanne au baada nina uhakika kuwa linaenda kutokea na pona pona ya Kocha Mkuu wa Simba SC kutofukuzwa ni kama na Yanga SC nao leo Watafungwa na TP Mazembe FC kwa Mkapa na Jumanne Simba SC ikimfunga Azam FC katika NBC Premier League vinginevyo anaenda Kufukuzwa na Mgunda pamoja na Matola watakabidhiwa Timu hadi mwisho wa Msimu.
Na tena kama leo Yanga SC itamfunga TP Mazembe kwa Mkapa haya Maamuzi ya Kuachana na Kocha Mbrazili Robertinho Oliviera yatafanyika haraka ili Kuwatuliza Mashabiki wa Simba SC ambao watakuwa na Hasira za Kufungwa Goli 3 kwa 0 na Raja Casablanca FC jana na huku wakiwa Wanataniwa na Watani zao Yanga SC.
Ahueni ( pona pona ) ya Kocha Mkuu wa Simba SC na baadhi ya Watendaji wake Kufukuzwa itatokea endapo tu na Yanga SC nao leo Watafungwa na TP Mazembe FC kwa Mkapa kwakuwa Wote watachekana na Presha haitokuwa Kubwa ila Yanga SC ikishinda leo na ikitokea na Jumanne Simba SC akafungwa au akatoka Sare / Suluhu na Azam FC katika Mechi yao ya NBC Premier League tegemeeni huu Utabiri wangu wa Kocha Mkuu wa Simba SC Mbrazili na baadhi ya Watendaji wake Kufukuzwa na Mgunda na Matola Kukabidhiwa Timu mpaka mwisho wa Msimu.
Ukibarikiwa na Mwenyezi Mungu hasa kuwa Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person kama MINOCYCLINE ni raha sana.
Nilionya mapema kwa kuja na Uzi Wiki Mbili kabla ya Simba SC kucheza Jana na Raja Casablanca FC Jana kuwa Raja Casablanca FC wako juu ya Simba SC katika kila Idara na kwamba Simba SC itafungwa tu nikaishia Kupuuzwa, Kutukanwa na Kudhihakiwa na kama Kawaida nilichokisema Kikatokea kwa Mkapa Jana.
Na hata hili la Kocha Mkuu wa Simba SC na baadhi ya Watendaji wake Kufukuzwa ama kabla ya Mechi na Azam FC Jumanne au baada nina uhakika kuwa linaenda kutokea na pona pona ya Kocha Mkuu wa Simba SC kutofukuzwa ni kama na Yanga SC nao leo Watafungwa na TP Mazembe FC kwa Mkapa na Jumanne Simba SC ikimfunga Azam FC katika NBC Premier League vinginevyo anaenda Kufukuzwa na Mgunda pamoja na Matola watakabidhiwa Timu hadi mwisho wa Msimu.