casablanca

Casablanca, also known in Arabic as Dar al-Bayda (Arabic: الدَّار الْبَيْضَاء, romanized: ad-Dār ul-Bayḍāʾ, [adˈdaːru ɫbajdˤaːʔ], lit.: "White House"; Berber languages: ⵜⴰⴷⴷⴰⵔⵜ ⵜⵓⵎⵍⵉⵍⵜ, romanized: Taddart Tumlilt) is the largest city in Morocco and the country's economic and business center. Located on the Atlantic coast of the Chaouia plain in the central-western part of Morocco, the city has a population of about 3.71 million in the urban area, and over 4.27 million in the Greater Casablanca, making it the most populous city in the Maghreb region, and the eighth-largest in the Arab world.
Casablanca is Morocco's chief port, with the Port of Casablanca being one of the largest artificial ports in the world, and the second largest port in North Africa, after Tanger-Med (40 km (25 mi) east of Tangier). Casablanca also hosts the primary naval base for the Royal Moroccan Navy.
Casablanca is considered a Global Financial Centre, ranking 54th globally in the Global Financial Centres Index rankings for the year 2022, outperforming many cities such as New Delhi, Jakarta, Istanbul, and Mexico City. Casablanca is ranked among the Emerging International contenders, and it is considered the largest financial center in Africa. The leading Moroccan companies and many of the larger American and European corporations doing business in the country have their headquarters and main industrial facilities in Casablanca. Recent industrial statistics show Casablanca is the primary industrial zone of the nation.

View More On Wikipedia.org
  1. TUKANA UONE

    ASEC Mimosas kulipa fadhila kwa Wydad Casablanca

    Hivyo ndivyo ninavyoweza kusema kwasababu kama tunakumbuka fainali za mataifa ya Afrika yametamatika hivi karibuni na Bingwa kuwa muandaaji wa michuano husika yaani Cotè d'ivoire. Kama mtakumbuka; Baada ya Cotè d'ivoire walipenya kwenye tundu la sindano na hii ni baada kupita kama Best looser...
  2. Tate Mkuu

    Tabiri hapa matokeo ya mechi ya marudio kati ya Simba SC dhidi ya Wydad Casablanca

    Binafsi naamini Mnyama hatari wa mwituni Simba atapata ushindi mnono wa goli 2-1. Baleke na Kibu watatupia siku hiyo. Karibuni wadau kwa utabiri wenu.
  3. M

    Ili Kutinga Robo Fainali CCL Simba Inalazimika kumvua Ubingwa Wydad Casablanca!

    Huu ni ukweli Mchungu! Simba wiki 2 zijazo ina kibarua kigumu!itakutana na Wydad mara mbili wiki ijayo! Mechi hizi zitakuwa ni ngumu mno Kwa Simba! Hii inatokana na ukweli kuwa ndio mechi zitakazoamua Ima Simba aende Robo Fainali au Wydad ajenge matumaininya kuingia Robo Fainali na kuendelea...
  4. M

    Ili Kutinga Robo Fainali CCL Simba Inalazimikmkumbua Ubingwa Wydad Casablanca!

    Huu ni ukweli Mchungu! Simba wiki 2 zijazo ina kibarua kigumu!itakutana na Wydad mara mbili wiki ijayo! Mechi hizi zitakuwa ni ngumu mno Kwa Simba! Hii inatokana na ukweli kuwa ndio mechi zitakazoamua Ima Simba aende Robo Fainali au Wydad ajenge matumaininya kuingia Robo Fainali na kuendelea...
  5. Sol de Mayo

    Kila la heri Wydad Casablanca

    Kila la heri Wydad Casablanca, nawaombea ushindi dhidi ya mamelodi, wale mashabiki wa Wydad tujuane hapa Free palestine 🇵🇸
  6. B

    Sporting Casablanca vs JKT QUEENS - CAF Women's CHAMPIONS LEAGUE 2023

    11 November 2023 LIVE Sporting Casablanca 4 - 1 JKT QUEENS - CAF Women's CHAMPIONS LEAGUE 2023 https://m.youtube.com/watch?v=drY_F-vulPI Kutoka uwanja wa San Pédro, Ivory Coast mechi hii ya timu ya Morocco na Tanzania zikipambana Dakika 14 ' Sporting Casablanca 0 - 0 JKT QUEEN Dakika ya...
  7. S

    Azam hawapoi Wang’oa Kiungo Raja Casablanca

    BREAKING NEWS 🚨 Tunayofuraha kuwataarifu kuwa tumefikia makubaliano na klabu ya @RCAofficiel, ya kumnunua kiungo wao mshambuliaji, Gibril Sillah. Nyota huyo wa Gambia, anatarajia kutua nchini muda wowote kuanzia sasa kumalizia taratibu za mwisho za usajili. 👇
  8. Scars

    FT | CAFCL Final: Al Ahly SC 2-1 Wydad AC | First leg 04/06/2023

    Baada ya kushuhudia mechi ya USM ALGER dhidi ya Yanga sasa ni muda wa kuangalia mchezo mkubwa na wenye heshima zaidi. Ni mechi kati ya mabingwa watetezi dhidi ya mabingwa wa muda wote kwenye hii michuano. Mchezo ni saa 3 kamili usiku Kumbuka ni fainali itayochezwa mara mbili. Hizi hapa ni...
  9. O

    Edo Kumwambe: Kisasi cha Cairo kilivyolipwa Casablanca baada ya miaka 20

    KISASI cha miaka ishirini iliyopita kimelipwa Ijumaa usiku katika Uwanja wa Mohamed V, pale Casablanca. Kisasi cha watu wa Afrika Kaskazini dhidi ya Simba. Maumivu yalikuwa makubwa wakati Simba walipoitoa Zamalek kwa penalti katika uwanja wa Taifa wa Misri miaka ishirini iliyopita pale Cairo...
  10. GENTAMYCINE

    Simba SC ilivyotolewa Juzi mliicheka je, ni lini mtaanza Kuwacheka Timu Kubwa Raja Casablanca FC nayo kwa Kutolewa?

    Na ndiyo maana wenye Akili kwa Kuujua Ugumu wa Kombe husika ( CAFCL ) na hatua ambayo Simba SC imefikia na kwa Kufa Kiume Juzi kwa Wydad Casablanca FC mpaka Waarabu wanaacha Kushangilia Wanasali na Kulia tunasema hatuna Deni na Wachezaji wa Simba SC hadi Kocha na Benchi lake lote la Ufundi...
  11. Scars

    CAF Champion league: Raja Casablanca Vs Al Ahly | Updates

    Mpira umeshaanza tayari kila timu zinatafutana
  12. covid 19

    Wanasimba tupo imara sana, tuna hali zaidi na furaha kubwa kusubili match yetu ya marudiano na wydad Casablanca.

    Huu ni ujumbe kwenye wenye visoklokwinyoooo na vijiba vya rohoo kwa simba. Simba ni team kybwa sana hapa Africa na duniani na tunatambua ili tuwe mabigwa africa lazima tucheze na mabigwa. Wanasimba hatuogopi team yoyote ile maana hao mnaosema watashinda sisi tulishawashinda teyariiiii...
  13. SAYVILLE

    Simba kuweni makini na drones wakati wa mazoezi yenu Casablanca

    Nawapongeza Simba kwa kwenda mapema huko Casablanca kuzoea hali ya hewa hasa ya majira ya jioni ila faida hiyo ya kwenda mapema ina hasara zake. Ningeweza kupendekeza mazoezi yangefanyikia hata Tunisia ambako hali ya hewa haitofautiani sana na ya Morocco halafu Simba waingie Casablanca siku moja...
Back
Top Bottom