endesha
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 1,662
- 2,666
Unaangalia kwa fawanews?Nikajua ni mimi peke yangu
Unaangalia kwa fawanews?Nikajua ni mimi peke yangu
Hii ni fawanews lakini hata Azam Max mambo ni hayo hayoMwenyewe ilikua niulize ..Maana nipo kwenye mtanziko mkubwa hapa huu ubaya ubwela unaweza kunipita kiaina tu..
Hadi kupitia Azam Max tatizo lipoUnaangalia kwa fawanews?
Chenga aiseeee ngoja tusubir warekebisheHivi kuna anayefuatilia hii mechi kupitia online streaming?
Yani huku upande wangu sio Azam Max wala Fawanews koke huko ni chenga tupu na hii sio mara ya kwanza
Ooh,nikajua tatizo lipo kwa ndugu zangu fawa .Hawa Azam nao wanaanza kua wababaishaji kama timu yao ya Azam Fc sasa.Hadi kupitia Azam Max tatizo lipo
Hapo sasa,Kwani mlipeleka kesi CAS ili mpate nini ?
Kama sio ushindi?
Tupate ushindi Ndio kwakuwa Sheria inakutaka uwaandikie barua siku 21 after game.... Imagine Bodi ya Ligi mech imeaihirishwa machi 8 hawajaizungumzia mpaka mei na hata barua ya Yanga hawajaijibu nadhani ukileta ushabiki hutanielewaKwani mlipeleka kesi CAS ili mpate nini ?
Kama sio ushindi?
Washenzi wa tabia kabisa mnatuharibia mpira wetuUbaya Ubwela!
wazee wa penatiSubiri kwanza kuvua pichu tuwapige bao mashoga zako kisha tunakurudia. Tuna jambo letu la kuchambua pamba hapa
Yanga aliruka hatua, Ndio maana halisi.Tupate ushindi Ndio kwakuwa Sheria inakutaka uwaandikie barua siku 21 after game.... Imagine Bodi ya Ligi mech imeaihirishwa machi 8 hawajaizungumzia mpaka mei na hata barua ya Yanga hawajaijibu nadhani ukileta ushabiki hutanielewa
Penalt fc v pamba upuuzi mtupuMatch Day
Vikosi vya Leo.
1. Simba
2. Pamba SC
Mechi imeanza (Kick Off)
4' Hakuna bao pande zote
08' Simba wanapata free kick nje kidogo ya 18, anapiga Ahoua inaishia kwenye mikono ya kipa wa Pamba.
Game on
0-0
11' Mpira unaendelea umiliki kwa Simba, wanaingia sana kwa Pamba.
Refa anamuonya kipa wa Pamba kwa kupoteza muda.
Game On
0-0