Simba SC 5-1 Pamba SC | NBC Premier League | KMC Complex | 08.05.2025

Simba SC 5-1 Pamba SC | NBC Premier League | KMC Complex | 08.05.2025

CAS kuna sehemu wamesema Yanga kashindwa kesi🥺.....mbona Unaleta ubwege ww mwenyewe
Weka barua ya CAS nikuoneshe waliposema. Maana hamna akili ninyi itakuwa haujaelewa.

Hata TPBL kwenye barua yao kuutarifu umma wa wapenda soka safi kwamba wanarekebisha ratiba ya mechi zote na dabi walisema Yanga kashindwa CAS🤣🤣😂💃💃💃🤸‍♀🤸‍♀🤸‍♀🤸‍♂🤸‍♀🤸‍♂
 
nikate rufaa wakati nna kumudu nakupiga 1-5
Mtacheza tu.jpg
 
Weka barua ya CAS nikuoneshe waliposema. Maana hamna akili ninyi itakuwa haujaelewa.

Hata TPBL kwenye barua yao kuutarifu umma wa wapenda soka safi kwamba wanarekebisha ratiba ya mechi zote na dabi walisema Yanga kashindwa CAS🤣🤣😂💃💃💃🤸‍♀🤸‍♀🤸‍♀🤸‍♂🤸‍♀🤸‍♂
Mm nioneshe barua ya TPLB iliosema hayo maana mm sijaiona
 
Na leo tunalifunga toto lenu Utopolo nyie.

Refa hamalizi mpira mpaka tushinde
Refa lazima atupatie penati mpaka tufunge.
Wakigangamala lazima wale red card
Wasipoangalia zitaongezwa dakika 30

Maana tunaposema Ubaya Ubwela watu wengine hawaelewi.

Mechi zote unacheza unaangusha points kizembe mpaka unafika relegation zone halafu from nowhere mechi dhidi ya Simba unataka ujidai Barca.
 
nikate rufaa wakati nna kumudu nakupiga 1-5
Kweli akili huna

Simba alishakupiga 5 mara 2. Mara ya mwisho 2012. Vile sio sehemu ya viongozi wa Simba kujifichia madhaifu yao issue iliisha siku moja tu baada ya gemu


Sasa ninyi bado mmeshupalia nakupiga 5, kila ukiguswa nakupiga 5. Acha uchizi. Kama ni 5 tu ulishakula mara 2 na tena ukala 6. Kwa maana hiyo goli kuanzia 5 ulishakula mara 3 Utopolo wewe.
 
Mm nioneshe barua ya TPLB iliosema hayo maana mm sijaiona
Achana na ukosefu wa akili wewe utopolo. Barua hujaiona ilikuwepo hapa JF mkainuka kuwatukana Karia na TPBL.

Waambie vilaza wenzio wakuoneshe na wakusomee.

Tupo bize sasa kuangalia mpira wa Mnyama mkali sasa. Mambo ya Utopolo hayatuhusu, tunachojua mtacheza lazima.
 
Wasipoangalia zitaongezwa dakika 30

Maana tunaposema Ubaya Ubwela watu wengine hawaelewi.

Mechi zote unacheza unaangusha points kizembe mpaka unafika relegation zone halafu from nowhere mechi dhidi ya Simba unataka ujidai Barca.
Nimekuelewa Sana. UBAYA UBWELA!!
 
Hivi kuna anayefuatilia hii mechi kupitia online streaming?

Yani huku upande wangu sio Azam Max wala Fawanews koke huko ni chenga tupu na hii sio mara ya kwanza
 
kwani tukicheza unao uwezo wa kutufunga
Subiri kwanza kuvua pichu tuwapige bao mashoga zako kisha tunakurudia. Tuna jambo letu la kuchambua pamba hapa
 
Yani hiki ndo nachokutana nacho kote kote
 
Hivi kuna anayefuatilia hii mechi kupitia online streaming?

Yani huku upande wangu sio Azam Max wala Fawanews koke huko ni chenga tupu na hii sio mara ya kwanza
Mwenyewe ilikua niulize ..Maana nipo kwenye mtanziko mkubwa hapa huu ubaya ubwela unaweza kunipita kiaina tu..
 
Back
Top Bottom