kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,375
- 10,118
Dah....Kiwango Kiwango.. Hawa ubaya Ubwela Wamekitoa wapi hiki Kiwango?
Umesahau dakika 15 FCMbereko Fc aka Penati Fc
Ndio ukosefu wa akiliYanga aliruka hatua, Ndio maana halisi.
Yanga alitaka kuvaa jeans kabla hajavaa boxa
HatucheziMtanyooka tu
Tufanye 0-0 mkuu. Halafu subiri matokeoMe simba lakini hii penalt sio aisee. Haikupaswa kuwa penati hata kama hawa ni GSM Fellowship
Bado penati 2Mbereko Fc aka Penati Fc
Hata mimi nimeona, kitu kimetokea katikati ya uwanja lakini refa kaweka tutaMbereko Fc aka Penati Fc
Ushindi upoMechi ngumu sana kwa simba hii,sijui kama atashinda?
Wakati wewe unasema hivyo wenzako wanaona huo ni mtego.Yanga chezeni derby hawa ni wepesi sanaaaa
😂🤣Yanga chezeni derby hawa ni wepesi sanaaaa
maelekezo yanaelewekaBado penati mbili na red card
Ubaya Ubwela