kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,375
- 10,118
Goooal SSC 1 - 0 PMB
Ahouaaa
Ahouaaa
GSM Kaongea iliishia wapi?Vipi GSM ashaanza kuharibu ligi?
Kwani majibu ya CAS yamerudi June?Tupate ushindi Ndio kwakuwa Sheria inakutaka uwaandikie barua siku 21 after game.... Imagine Bodi ya Ligi mech imeaihirishwa machi 8 hawajaizungumzia mpaka mei na hata barua ya Yanga hawajaijibu nadhani ukileta ushabiki hutanielewa
Mtanyooka tuWashenzi wa tabia kabisa mnatuharibia mpira wetu
Penati bila ya kuingia ndani ya 18 huwezi kupata!Penalt fc v pamba upuuzi mtupu
Sasa mlitaka Budo afe uwanjani Ndio penalt iwekweMbereko Fc aka Penati Fc