Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 10,703
- 11,808
Na leo tunalifunga toto lenu Utopolo nyie.Marefa fc vs pamba
Refa hamalizi mpira mpaka tushinde
Refa lazima atupatie penati mpaka tufunge.
Wakigangamala lazima wale red card
Na leo tunalifunga toto lenu Utopolo nyie.Marefa fc vs pamba
AsanteLolote liwakute
Huo sio mpira nakereka sanaNa leo tunalifunga toto lenu Utopolo nyie.
Refa hamalizi mpira mpaka tushinde
Refa lazima atupatie penati mpaka tufunge.
Wakigangamala lazima wale red card
Kereka lakini ndio hivyo kila mmoja anakula kwa urefu wa kamba yake.Huo sio mpira nakereka sana
Ngojeni muone leo mnavyodondosha alama. Hakuna gemu imeniuma kama ya mashujaaKereka lakini ndio hivyo kila mmoja anakula kwa urefu wa kamba yake.
Mwingine kaingia kwa gia ya udhamini aakikutana na timu hizo zinamlegezea.
Leo sio rahisi lazima tushinde labda gemu ya KMC ndio ngumuNgojeni muone leo mnavyodondosha alama. Hakuna gemu imeniuma kama ya mashujaa
Uhakika s mnao marefa wenu.Leo sio rahisi lazima tushinde labda gemu ya KMC ndio ngumu
Mtashinda mkuu kwa jitihada Za KariaAsante
Na litukute la kushinda hii mechi
Mimi nataka tu kufahamu kwenye hii mechi ya leo atachezesha nani kati ya wale waamuzi wetu maalum? Maana Kepha Kayombo tayari amechezesha dhidi ya Mashujaa na matokeo tumeyaona! Japhet Smart amechezesha dhidi ya JKT!Match Day
View attachment 3327410
Ndio faida ya Karia kuwa upande wetu mkuu. Ninyi si mnashinda kwa nguvu ya GSMMtashinda mkuu kwa jitihada Za Karia
GSM tena? huoni tunavyoshinda kwa uwezo binafsiNdio faida ya Karia kuwa upande wetu mkuu. Ninyi si mnashinda kwa nguvu ya GSM
Mechi ngumu sana kwa simba hii,sijui kama atashinda?
Uwezo binafsi mechi timu pinzani inaingiza kikosi cha pili. Kipa anazawadia Yanga magoli mpaka kocha anamtoaGSM tena? huoni tunavyoshinda kwa uwezo binafsi
Sasa hivi Simba ushindi sio wa kuuliza. Lazima ishinde.Kwa Njia ya marefa
Sasa hivi Simba ushindi sio wa kuuliza. Lazima ishinde.
Iwe refa
Iwe penati
Iwe red card
Iwe dakika 140
Lazima tushinde tu. Ninyi jitahidi kuvichachisha viporo, lakini vitaliwa tu.