Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,231
Bado muda upo Simba inaweza kubadilisha Mgeni Rasmi , Ndugai ni kimeo
Kwani Ndugai ana shida gani kwenye tasnia ya michezo?
Simba day sio SIASA,
ni MICHEZO na USTAWI wa WADAU wa SIMBA.
Huo ubaguzi wenu ndio unaowala hapo Utopoloni.
Mubaki munajiita Mabinga wa Zamani.
Kwani Ndugai ana shida gani kwenye tasnia ya michezo?
Simba day sio SIASA,
ni MICHEZO na USTAWI wa WADAU wa SIMBA.
Huo ubaguzi wenu ndio unaowala hapo Utopoloni.
Mubaki munajiita Mabinga wa Zamani.
Naingia kwenye hoja moja kwa moja lakini awali ya yote naomba ku declare intest kwamba mimi ni mwanaSimba kindakindaki. Nina imani Simba Day ya leo tarehe 19/9/2021 imeandaliwa vizuri kimkakati na kimipango lakini kuna jambo moja ambalo klabu imetukusea sisi mashabiki wa ukweli wa Simba. Tangu nilipopata taarifa kuwa mgeni rasmi wa siku ya leo ni mzee wa Galilaya, mnazaleti Job Ndugai, nieamua nisiende kiwanjani. Naomba mashabiki wengine wa Simba mniunge mkono kususia tukio lhili la Simba siku hii ya leo. Hivi viongozi wa Simba huwa mnawaza nini hasa? Au Ndugai amewahonga hela ili awe mgeni rasmi leo kwa manufaa yake binafsi? Mnakwama wapi lakini?
Image ya Ndugai katika taifa hili imeporomoka sana kiasi kuwa hafai hata kuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya birthday. Iweje leo Simba mnamleta mtu huyu kuwa mgeni rasmi? Kusema kweli kitendo hiki kimeniuma sana na sio mimi tu, hata mashabiki wengi wa Simba watakuwa wamesikitishwa mno na kitendo hiki. Ombwe la Manara limeanza kuonekana mapema. Manara angekuwepo Simba hadi leo asingekubali kamwe ujinga huu kufanyika. Nasikitika kusema kwamba sitakwenda kiwanjani na wala sitafuatilia tukio hili kwenye TV. Nina kazi nyingi za kufanya siku hii ya leo. Kama nitakosa cha kufanya bora nilale usingizi.
Mlioumizwa na kitendo hiki cha Simba kumteua mgeni rasmi wa ovyo namna hii, tujuane mapema.
Nawasilisha.
People's sins ni sahihi kabisa.Peoples sins # People sins ✓
Timu yenu??Naingia kwenye hoja moja kwa moja lakini awali ya yote naomba ku declare intest kwamba mimi ni mwanaSimba kindakindaki. Nina imani Simba Day ya leo tarehe 19/9/2021 imeandaliwa vizuri kimkakati na kimipango lakini kuna jambo moja ambalo klabu imetukusea sisi mashabiki wa ukweli wa Simba. Tangu nilipopata taarifa kuwa mgeni rasmi wa siku ya leo ni mzee wa Galilaya, mnazaleti Job Ndugai, nieamua nisiende kiwanjani. Naomba mashabiki wengine wa Simba mniunge mkono kususia tukio lhili la Simba siku hii ya leo. Hivi viongozi wa Simba huwa mnawaza nini hasa? Au Ndugai amewahonga hela ili awe mgeni rasmi leo kwa manufaa yake binafsi? Mnakwama wapi lakini?
Image ya Ndugai katika taifa hili imeporomoka sana kiasi kuwa hafai hata kuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya birthday. Iweje leo Simba mnamleta mtu huyu kuwa mgeni rasmi? Kusema kweli kitendo hiki kimeniuma sana na sio mimi tu, hata mashabiki wengi wa Simba watakuwa wamesikitishwa mno na kitendo hiki. Ombwe la Manara limeanza kuonekana mapema. Manara angekuwepo Simba hadi leo asingekubali kamwe ujinga huu kufanyika. Nasikitika kusema kwamba sitakwenda kiwanjani na wala sitafuatilia tukio hili kwenye TV. Nina kazi nyingi za kufanya siku hii ya leo. Kama nitakosa cha kufanya bora nilale usingizi.
Mlioumizwa na kitendo hiki cha Simba kumteua mgeni rasmi wa ovyo namna hii, tujuane mapema.
Nawasilisha.
Aisee wameniudhi sana kumchagua yule jamaa wa mirembe kuwa mgeni rasmiNaingia kwenye hoja moja kwa moja lakini awali ya yote naomba ku declare intest kwamba mimi ni mwanaSimba kindakindaki. Nina imani Simba Day ya leo tarehe 19/9/2021 imeandaliwa vizuri kimkakati na kimipango lakini kuna jambo moja ambalo klabu imetukusea sisi mashabiki wa ukweli wa Simba. Tangu nilipopata taarifa kuwa mgeni rasmi wa siku ya leo ni mzee wa Galilaya, mnazaleti Job Ndugai, nieamua nisiende kiwanjani. Naomba mashabiki wengine wa Simba mniunge mkono kususia tukio lhili la Simba siku hii ya leo. Hivi viongozi wa Simba huwa mnawaza nini hasa? Au Ndugai amewahonga hela ili awe mgeni rasmi leo kwa manufaa yake binafsi? Mnakwama wapi lakini?
Image ya Ndugai katika taifa hili imeporomoka sana kiasi kuwa hafai hata kuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya birthday. Iweje leo Simba mnamleta mtu huyu kuwa mgeni rasmi? Kusema kweli kitendo hiki kimeniuma sana na sio mimi tu, hata mashabiki wengi wa Simba watakuwa wamesikitishwa mno na kitendo hiki. Ombwe la Manara limeanza kuonekana mapema. Manara angekuwepo Simba hadi leo asingekubali kamwe ujinga huu kufanyika. Nasikitika kusema kwamba sitakwenda kiwanjani na wala sitafuatilia tukio hili kwenye TV. Nina kazi nyingi za kufanya siku hii ya leo. Kama nitakosa cha kufanya bora nilale usingizi.
Mlioumizwa na kitendo hiki cha Simba kumteua mgeni rasmi wa ovyo namna hii, tujuane mapema.
Nawasilisha.
Naingia kwenye hoja moja kwa moja lakini awali ya yote naomba ku declare intest kwamba mimi ni mwanaSimba kindakindaki. Nina imani Simba Day ya leo tarehe 19/9/2021 imeandaliwa vizuri kimkakati na kimipango lakini kuna jambo moja ambalo klabu imetukusea sisi mashabiki wa ukweli wa Simba. Tangu nilipopata taarifa kuwa mgeni rasmi wa siku ya leo ni mzee wa Galilaya, mnazaleti Job Ndugai, nieamua nisiende kiwanjani. Naomba mashabiki wengine wa Simba mniunge mkono kususia tukio lhili la Simba siku hii ya leo. Hivi viongozi wa Simba huwa mnawaza nini hasa? Au Ndugai amewahonga hela ili awe mgeni rasmi leo kwa manufaa yake binafsi? Mnakwama wapi lakini?
Image ya Ndugai katika taifa hili imeporomoka sana kiasi kuwa hafai hata kuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya birthday. Iweje leo Simba mnamleta mtu huyu kuwa mgeni rasmi? Kusema kweli kitendo hiki kimeniuma sana na sio mimi tu, hata mashabiki wengi wa Simba watakuwa wamesikitishwa mno na kitendo hiki. Ombwe la Manara limeanza kuonekana mapema. Manara angekuwepo Simba hadi leo asingekubali kamwe ujinga huu kufanyika. Nasikitika kusema kwamba sitakwenda kiwanjani na wala sitafuatilia tukio hili kwenye TV. Nina kazi nyingi za kufanya siku hii ya leo. Kama nitakosa cha kufanya bora nilale usingizi.
Mlioumizwa na kitendo hiki cha Simba kumteua mgeni rasmi wa ovyo namna hii, tujuane mapema.
Nawasilisha.
Mkuu wewe Yanga..usituharibie sherehe yetu .nenda kwenye maombolezo huko Nigeria.Mkuu Simba ni klabu kubwa Afrika na duniani. Wewe kwanini unadhani Ndugai anafaa kuwa mgeni rasmi pamoja uchafu wake wote ule? Please explain briefly.
Ccm huwa wanatesa sanaMtoa uzi hata kama Simba mwenzangu sikuungi mkono..kuna maisha baada ya kazi. Tuache siasa..hapo ameenda kama mwanamichezo na kwa taarifa yako kwa vile anavyoipenda Simba sioni shida.
Huweziamini wale wale wanaompondaga kwenye siasa ndiyo hao hao sasa hivi wanamtetea kisa ni mgeni rasmi, hakika sisi Binadamu ni wanafki hata shetwani anatuogopaMnavyomtetea huyo ndugu yenu sasa
Mumteteage siku zote hivyo hivyo.
Sitaki uniletee siasa hapa..vipiCcm huwa wanatesa sana
Sababu hujibadilibadili kama kinyonga
Wameingiza turufu yao ndugai kuipamba ccm yao.