Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Huyu Arajiga ni refa wa kimkakati anaotumiwa na TFF iliyowekwa kiganjani na Yanga, mechi zote za Yanga tangu mwaka jana ameibeba Yanga kwa kufanya maamuzi ya hovyo,mechi nyingi za Simba ameionea Simba,..Ni refa wa kimkakati anayetumiwa na TFF na Yanga ili njia ya Yanga iwe rahisi kupata ubingwa.
Akichezesha mechi ya Yanga lazima afanye maamuzi ya kuibeba Yanga na kuonea timu zingine, vile vile timu yoyote ikicheza na Simba lazima awakandamize Simba kwa maamuzi ya utata ili kuivuta Simba nyuma.
Inashangaza huyu mwanachama wa Yanga kuchezesha mechi za ligi kuu.
Akichezesha mechi ya Yanga lazima afanye maamuzi ya kuibeba Yanga na kuonea timu zingine, vile vile timu yoyote ikicheza na Simba lazima awakandamize Simba kwa maamuzi ya utata ili kuivuta Simba nyuma.
Inashangaza huyu mwanachama wa Yanga kuchezesha mechi za ligi kuu.