Sikupi pesa ila nakupa mchongo, amua wewe

Sikupi pesa ila nakupa mchongo, amua wewe

Kwahiyo sasa hivi unaitumia?
Mimi nimesomea mambo ya financial... Ila kwenye wasifa niliongezea na mambo ya excel na words yaani nipate kazi za kuandika na kupanga data nakumbuka nilipata kazi moja nayo kwangu ilikuwa ngumu sana+ lugha gongana....niliachana nayo mkuu nikakimbilia shambani.

Inatakiwa lugha iwe inapanda, uwe na muda wa kucheki kama kuna kazi yyte, uwe na vifaa (computer)+ internet.

Watu waliosomea computer science wana wigo mpana sanaa.

Pia ukiingia uko utakutana na watu wakongwe unaweza ukakaa ata mwaka ukakosa kazi.....
 
Mimi nimesomea mambo ya financial... Ila kwenye wasifa niliongezea na mambo ya excel na words yaani nipate kazi za kuandika na kupanga data nakumbuka nilipata kazi moja nayo kwangu ilikuwa ngumu sana+ lugha gongana....niliachana nayo mkuu nikakimbilia shambani.

Inatakiwa lugha iwe inapanda, uwe na muda wa kucheki kama kuna kazi yyte, uwe na vifaa (computer)+ internet.

Watu waliosomea computer science wana wigo mpana sanaa.

Pia ukiingia uko utakutana na watu wakongwe unaweza ukakaa ata mwaka ukakosa kazi.....
Duuuh
 
Back
Top Bottom