freelancing

Freelance (sometimes spelled free-lance or free lance), freelancer, and freelance worker, are terms commonly used for a person who is self-employed and is not necessarily committed to a particular employer long-term. Freelance workers are sometimes represented by a company or a temporary agency that resells freelance labor to clients; others work independently or use professional associations or websites to get work.
While the term independent contractor would be used in a higher register of English to designate the tax and employment classes of this type of worker, the term "freelancing" is most common in culture and creative industries, and use of this term may indicate participation therein.Fields, professions, and industries where freelancing is predominant include: music, writing, acting, computer programming, web design, graphic design, translating and illustrating, film and video production and other forms of piece work which some cultural theorists consider as central to the cognitive-cultural economy.

View More On Wikipedia.org
  1. Mwafrika mmoja

    JamiiForums Tanzania Sikupi pesa ila nakupa mchongo, amua wewe

    Siku chache zilizopita niliwapa stori ya rafiki yangu wa kijani ambaye amenisaidia kuona upande mwingine wa dunia ya freelancing. Wengi mliuliza: "Huyo rafiki ni nani?" Leo nimeamua kumleta rasmi. Jina lake ni FIVERR. Usichanganyikiwe na kizungu, ngoja nikuelezee kwa lugha rahisi. Fikiria una...
  2. Mwafrika mmoja

    JamiiForums Tanzania Namsimulia Rafiki yangu wa Kijani (Part TWO)

    PART TWO Basi bwana, katikati ya mwaka wa 2023 nilipata pigo ambalo lilibadilisha kabisa ndoto zangu za kusonga mbele na nilifikia hatua ya kuwaza nirudi zangu Kijijini nikaanze upya na maisha. Mwezi Juni, mimi na sehemu yangu niliyokuwa nafanya kazi tulifikia mwisho. Niliumia kwasababu...
  3. Mwafrika mmoja

    JamiiForums Tanzania Namsimulia Rafiki yangu wa Kijani

    Stori yangu inaanzia mbali, mwaka 2020 wakati ambao COVID-19 ilishika kasi, watu wanapunguzwa makazini, wengine wanapewa likizo bila malipo na wengine wanaendelea na kazi lakini mishahara inasua sua. Maisha yangu yalikaba sana, nilikuwa nategemewa na pesa ninayopata haitoshi "NINATOKAJE?" ndiyo...
  4. youngkato

    JamiiForums Tanzania Jinsi Mwanafunzi wa Form Six Anaingiza Pesa Mtandaoni Kupitia Freelancing

    Jinsi Mwanafunzi wa Form Six Anaingiza Pesa Mtandaoni Kupitia Freelancing Wakati vijana wengi waliomaliza kidato cha sita wakisubiri majibu ya chuo au kutafuta “kazi ya kuajiriwa,” kijana mmoja kutoka Mwanza aliamua kuchukua njia za tofauti. Jina lake ni Festo kijana mnyenyekevu, mpole lakini...
  5. youngkato

    JamiiForums Tanzania Unaweza kupata kazi na ajira za Freelancing Bila Kutegemea Upwork au Fiverr.

    Unaweza kupata wateja wa Freelancing Bila Kutegemea Upwork au Fiverr. Unaweza kupata wateja wa Freelancing Bila Kutegemea Upwork au Fiverr. Jinsi Nilivyopata Wateja 100 wa kwanza Nimekuwa freelancer kwa miaka 5, Nimefanya kazi na wateja zaidi ya 100 Global. Wengi wao sikuwapata Fiverr wala...
  6. youngkato

    JamiiForums Tanzania Freelancer mstaafu: Niuze swali lolote kuhusu Freelancing na Remote work

    Kwa uzoefu wangu ya miaka mitatu, 1. Nimefanya kazi na wateja zaidi ya 400 2. Nimetumia platform zote za freelancing 3. Nimefanya kazi zaidi ya masaa 10,000 4. Nimetengeneza chain ya clients wa kudumu 5. Nafahamiana na kila freelancer hapa Tz 6. Nimejifunza skills zaidi ya 20 7...
  7. youngkato

    JamiiForums Tanzania At least naweza kuwaambia graduate wafanye Freelancing na wakafanikiwa

    Japo sio wote watafanikiwa ila at least nina uhakika vijana wanne kati ya kumi watapata kazi. This is proved, hizi elimu zetu zimeletwa na wazungu, zinafundishwa pia kwenye nchi zao. Kwahiyo ukishapata hii elimu mfano sheria, afya, sayansi zote, etc itumie kuwasaidia kazi kwa kufanya...
  8. youngkato

    JamiiForums Tanzania Tuongee mchongo wa freelancing kwa graduate: Kama umemaliza chuo na huna kazi

    Tuongee mchongo wa freelancing kwa graduate: Kama umemaliza chuo na huna kazi Kama umemaliza chuo na huna kazi Unaweza kuanza kufanya freelancing na kupata wateja au kazi kwa kutumia elimu yako ya chuo. Kwa experience ya miaka 5 ya kufanya freelancing fulltime, nimefanya kazi na clients...
  9. youngkato

    JamiiForums Tanzania Nimefanya kazi za freelancing na agencies nyingi sana nimegundua haya

    Nimefanya kazi za freelancing na agencies nyingi sana. Nimejifunza Jinsi wanavyofanya kazi, Jinsi wanavyotafuta Clients Wanavotangaza huduma zao wanavyowasilisha offer zao. Meetings zao nyingi sana Wanavyofanya project management wakiwa na team na hawajuani. Wanafanya hivi 👇👇 1. Cold...
  10. youngkato

    JamiiForums Tanzania Jinsi Ninavyopata wateja wa kazi za freelancing

    Jinsi Ninavyopata wateja wa kazi za freelancing. Hizi njia ukiweza kuzitumia zitakupa matokeo ndaninya miezi mitatu. Pia unaweza kuzitumia kwenye biashara yoyote Kwanza kabisa wateja wa uhakika wapo LinkedIn, LinkedIn mteja anakufata mwenyewe inbox kama ni interview anakupangia tarehe...
  11. youngkato

    JamiiForums Tanzania Pesa nyingi ninazopata kwenye Freelancing zianaishia kuwalipa vijana wanaonisaidia kufanya kazi. Hii level inaitwa dropservicing

    Pesa nyingi ninazopata kwenye Freelancing zianaishia kuwalipa vijana wanaonisaidia kufanya kazi. Hii level inaitwa dropservicing Nitakuelekeza mambo muhimu ya kuzingatia ili uweze kufanya dropservicing... Pia ukitaka kufanya freelancing zingatia haya Kwanza kabisa lazima uanze kama freelancer...
  12. Rorscharch

    JamiiForums Tanzania Seeking a Mentor to Help Me Start Online Freelancing (Dar es Salaam)

    Hey guys, I’m reaching out with a heavy heart and a strong desire to change my current situation. I’ve been working in a low-paying marketing job for nine years, applying for better opportunities but getting nowhere. I’ve also tried starting small businesses over the years, but they’ve all...
  13. Last_Joker

    JamiiForums Tanzania Freelancing Tanzania: Hela Imekuwa Rahisi au Hizi ni Hadithi tu?

    Siku hizi, freelancing imekuwa kama ndoto mpya kwa vijana wengi wa Kitanzania. Kila mtu anazungumzia uhuru wa kufanya kazi mtandaoni, hela isiyo na stress ya kusimamiwa na mabosi wa ofisini, na uwezo wa kufanya kazi popote – hata ukiwa nyumbani na kikombe cha chai! Lakini swali ni hili: Hela...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya freelancing na online jobs

    Habari wakuu mwenye ako na ujuzi juu ya freelancing na online jobs msaada tafadhari
  15. Tanzanite Digital Agency

    JamiiForums Tanzania Jinsi Ya Kuanza Digital Marketing 2023, Anza Leo Fursa Hii Ya Mtandaoni

    Digital Marketing - moja ya mada zinazotajwa sana haswa katika fursa za mtandaoni. Wafanyabiashara wengi wanasifu kuwa ni njia muhimu sana katika ukuzaji wa biashara. Kitu ambacho vyuo vingi vimeanza mafunzo ya kozi za digital marketing, lakini hii haimaanisha ni lazima uwe na college degree...
  16. Tanzanite Digital Agency

    JamiiForums Tanzania Jinsi Ya Kupata Kazi Fiverr (Approved Method)

    Wakati dunia inazidi kubadilika technologically, Nchi za Ki-Africa hatuna sababu ya kubaki nyuma maana resources zote za mtandaoni ni za dunia na wala si nchi fulani. Nadhani kama umepata kuona Ai mpya ya chat GPT utagundua within 5 years kama utalala sasahivi, basi utakuwa nyuma sana. Lakini...
  17. Kainetics

    JamiiForums Tanzania UpWork Freelancing: Kama wewe ni kijana ambae huna kazi pita hapa

    Habari wana JamiiForums, kwa bahati mbaya au nzuri, mambo mengi ambayo naandika au natamani kushare humu yashaongelewa tayari , na hata hii kitu ambayo naandika saa hivi. Freelancing. Though, approach nlioona inatumika na wengi ni tofauti kabisa na ile ambayo nimekuwa nikitumia hivyo naona ni...
  18. emmarki

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa IT, nini kinachowazuia kuanzisha freelancing website's

    Experts wa IT, mthubutu kuanzisha freelancing websites hapa bongo ili tutengeneze character ya kufanya kazi na kulipwa kwa masaa kazi inapokamilika. Kuna watu wana kazi ndogondogo na nyingine zinahitaji special skills ambazo kwenye ofisi yake labda hana expert wa kukamilisha hiyo task. Kuondoa...
  19. Roy Keane

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhali kwenye freelancing upande wa website development

    Nimeunda gig yangu ya kwanza huko fiverr kuhusu website development, sasa ambacho nataka kufahamu wakuu ni je - Website ya mteja nampatia ikiwa hosted tayari ama nampa source codes? -Kama nampatia ikiwa hosted, gharama za domain na hosting inabidi niwe nimezijumuisha kwenye cost ya kazi yangu ...
  20. Tanzanite Digital Agency

    JamiiForums Tanzania Jinsi Ya Kupokea/ku-withdraw Pesa Kutoka Upwork Au Fiverr (Beginners Freelancing Guide)

    Hii ni special kwa all internet money hustlers! (Read more....) Kama umekuwa interested au umefanya research kuhusiana na freelancing then utakuwa umekutana na platforms za freelancing kama vile Upwork, Fiverr, Freelancer na zaidi. Lakini, swali linalokujia akilini at the beginning ni namna...
Back
Top Bottom